FT: Simba SC 7-0 Horoya AC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa | 18.03.2023

ana uwezo gani
si huyu alikandwa 3 kwake
si huyu alikuwa anashinda goli moja, moja kwa kibonde vipers sasa ana uwezo gani
sema mgomo wa horoya ndio umembeba ila kwa uwezo wote mnajua hana lolote
 
kwamba wao wanacheza kupata bonus tu?
 
hahahaha horoya alikuwa na mgomo, uliwahi ona ligi ya mabingwa kipa anadaka vile

unaoigwa 7 wana hujutii unafurahi
hujui mpira wewe, goli 1 ndio wachezaji wanajutia utaona wanalala uwanjani mana wanaona kama wangeweza kufanya Jambo, Ila goli 7 wanakua washakata tamaa kisaikolojia baada ya kufungwa 3, morali inashuka
 
hujui mpira wewe, goli 1 ndio wachezaji wanajutia utaona wanalala uwanjani mana wanaona kama wangeweza kufanya Jambo, Ila goli 7 wanakua washakata tamaa kisaikolojia baada ya kufungwa 3, morali inashuka
unajutia kama ulikuwa na uhitaji wa nafasi horoya anajuta vipi alikuja na wazo la kukamilisha ratiba tu

uliona man u baada ya kula 7, wakitoka na furaha na bashasha
 
Hongera Mtani

Finali hii hapa...Shida ni Mamelodi na Al Ahly. Mkitoboa hapo huyu hapa Raja Casablanca kwenye fainali
Al Ahly hatuwezi kukutana nae maana akifuzu atakuwa nafasi ya 2.
Timu za nafasi ya 2 zote haziwezi kukutana.
 
unajutia kama ulikuwa na uhitaji wa nafasi horoya anajuta vipi alikuja na wazo la kukamilisha ratiba tu

uliona man u baada ya kula 7, wakitoka na furaha na bashasha
Hoja dhaifu mno... Hata Eng. Hersi & Luc Emayel wamewachoka.
 
Kwamba Horoya ni garasa?, huu ni uongo wa mchana wa jua kali kabisa, Horoya mpaka anafika hapo unafikiri Kapaa? Si alizifunga team kadhaa huko nyuma, angekuwa mbovu au kiwango kimeshuka angeangukia kwa "loosers" hii ni Champions league hakuna team dhaifu hapo. Horoya ni moja ya team nzr sana kwa ukanda wao na wako na wamekuwa wakishiriki constantly haya mashindano. Juzi tu Alhy kala 5 na Mamelody, kwahy hawa si ajabu kula 7, ni kwamba ukiingia kwenye mfumo tu, umekwisha, jana Horoya kaingia cha kike.
 
walihaidiwa na hawaja pewa, mbaya zaidi wakageukwa
horoya wa kumkazia raja kwao aje apigwe 7 na huyu nyau wa kuunga unga hushangai
Daahh..kaka unahangaika na Simba yaani Toka Jana unasema Simba ameshinda kibahati Bahati ,punguza baasii wivu na chuki hata km huipendi Simba wamefanya vzr na hakuna goli la bahati mbaya
Man U walipigwa Saba na Liver utasema nao walikua na mgomo?
Simba wameshinda Kwa kua wamestahiki brooo...leave that chuki,pole Sana sijui km ulilala usiku wa kuamkia leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…