Wivu ukizidi unageuka mchawihoroya alikuja kamilisha ratiba tu baada ya kunyimwa fedha zao walizo haidiwa ko hakuna cha maana wala timu yako haina uwezo wa ajabu mnao taka tuamini
ana uwezo ganiDah yaani huwa hamtaki kabisa kukubali uwezo wa mnyama! Lazima mtafute sababu tu ya kumdharau. Hivi simba angefungwa leo ungeandika ulivyoandika? Mkuu mpira ni wa uwazi kabisa ifike wakati tukubali uwezo wa simba, kwa leo simba wamebadilika sana tofauti na mechi tatu zilizopita. Makosa waliyoyafanya horoya ni ni kuidharau simba wakiamini wanaweza kufanya chochote matokeo yake wakakutana na simba iliyoimarika sana leo wakapotea mazima kilichofuata ni 7 bila.
hahahaha horoya alikuwa na mgomo, uliwahi ona ligi ya mabingwa kipa anadaka vileatajuta
Wivu ukizidi unageuka mchawi
kwamba wao wanacheza kupata bonus tu?umesoma ukaelewa
hii taarifa ni ya mzunguko wa kwanza na walimkanda simba wakachukua dola 5000
mzunguko wa 2 wakaambiwa wakipaga goli ni m100 wakapata, raisi akawageuka hakuwapa ndo mechi hii wamekuja kukamilisha tu
unanambia hawana shida ya pesa vipi, kwamba hizi bonus huwa hawachukui wakishinda
hujui mpira wewe, goli 1 ndio wachezaji wanajutia utaona wanalala uwanjani mana wanaona kama wangeweza kufanya Jambo, Ila goli 7 wanakua washakata tamaa kisaikolojia baada ya kufungwa 3, morali inashukahahahaha horoya alikuwa na mgomo, uliwahi ona ligi ya mabingwa kipa anadaka vile
unaoigwa 7 wana hujutii unafurahi
walihaidiwa na hawaja pewa, mbaya zaidi wakageukwakwamba wao wanacheza kupata bonus tu?
unajutia kama ulikuwa na uhitaji wa nafasi horoya anajuta vipi alikuja na wazo la kukamilisha ratiba tuhujui mpira wewe, goli 1 ndio wachezaji wanajutia utaona wanalala uwanjani mana wanaona kama wangeweza kufanya Jambo, Ila goli 7 wanakua washakata tamaa kisaikolojia baada ya kufungwa 3, morali inashuka
Al Ahly hatuwezi kukutana nae maana akifuzu atakuwa nafasi ya 2.Hongera Mtani
Finali hii hapa...Shida ni Mamelodi na Al Ahly. Mkitoboa hapo huyu hapa Raja Casablanca kwenye fainali
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Fix sana we jamaa.. leo mtapigwa kipigo cha mbwa koko,kipigo ambacho chozi lake litawatokea ulimini! Kipigo Chenye pigo lisiloisha ukali wake!
Hoja dhaifu mno... Hata Eng. Hersi & Luc Emayel wamewachoka.unajutia kama ulikuwa na uhitaji wa nafasi horoya anajuta vipi alikuja na wazo la kukamilisha ratiba tu
uliona man u baada ya kula 7, wakitoka na furaha na bashasha
Kwamba Horoya ni garasa?, huu ni uongo wa mchana wa jua kali kabisa, Horoya mpaka anafika hapo unafikiri Kapaa? Si alizifunga team kadhaa huko nyuma, angekuwa mbovu au kiwango kimeshuka angeangukia kwa "loosers" hii ni Champions league hakuna team dhaifu hapo. Horoya ni moja ya team nzr sana kwa ukanda wao na wako na wamekuwa wakishiriki constantly haya mashindano. Juzi tu Alhy kala 5 na Mamelody, kwahy hawa si ajabu kula 7, ni kwamba ukiingia kwenye mfumo tu, umekwisha, jana Horoya kaingia cha kike.Horoya kwa namna wanavyocheza ilikuwa halali wapigwe nyingi, kwanza awakumuheshimu mpinzani ambaye yuko nyumbani kwake, wameingia kwenye mchezo wakafunguka kuanzia dk ya kwanza ya mchezo, na hapo hapo wakashindwa kujielewa kwamba sio wazuri ni timu ya kawaida sana ambayo nafikiri bado wanajitafuta ili kurudi kwenye ule ubora waliokuwa nao misimu miwili iliyopita ambapo waliuza wachezaji wengi sana na kuacha wengi pia, Sasa unapokutana na timu kama hii basi zitumie nafasi unazopata kiuhakika na ndicho walichofanya simba leo, kujisifu sana pia dhidi ya timu kama hii napo sio sahihi sana, unaweza ukajiona bora kumbe uliyekutana nae pia ni garasa, Ongereni jiandaeni vizuri dhidi ya wanaokuja kwenu ambao sio tena horoya bali ni timu aswaaa
Na hiyo safari yao ya kurudi kwao wataona kama wanakwenda kwa mguu.Hawa Horoya sijui kama watakubali kurudi Tanzania
Kabisaa yaaniatajuta
Wivu ukizidi unageuka mchawi
Daahh..kaka unahangaika na Simba yaani Toka Jana unasema Simba ameshinda kibahati Bahati ,punguza baasii wivu na chuki hata km huipendi Simba wamefanya vzr na hakuna goli la bahati mbayawalihaidiwa na hawaja pewa, mbaya zaidi wakageukwa
horoya wa kumkazia raja kwao aje apigwe 7 na huyu nyau wa kuunga unga hushangai
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babuu umechachuka vibayaaa lolWanaume wameshamaliza kazi kilichobaki ni ushakunaku wa mashosti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtaniiiiiii upooooooo???? Umeiona simba? Lidude likuuuuubwaaaaaa.
Aah wala malimao wana tabu sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babuu umechachuka vibayaaa lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa kahangaike na horoya wako huko, sisi haituhusuuu.walihaidiwa na hawaja pewa, mbaya zaidi wakageukwa
horoya wa kumkazia raja kwao aje apigwe 7 na huyu nyau wa kuunga unga hushangai