Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Kinyonge sana halafu saa sita na dakika.. Una bahati [emoji23],[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] we mganga hatimae nimeamka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinyonge sana halafu saa sita na dakika.. Una bahati [emoji23],[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] we mganga hatimae nimeamka.
Hapa Horoya kapewa heshima ya ukubwaWanawachukulia poa horoya halafu ushindi wa vipers umewasahaulisha kwamba wao ni wabovu , sasa leo ndo ile siku watu wanaenda kuaibika
That's exactly what happened at lupasoBila kusahau ka kibwagizoView attachment 2556111
Mikia ishapigwa kama ulivyoagizaPiga mikia hiyoooooo
I told you ma niggarhawa jamaa wafe 2 bila kupunguza kelele mtaani
Bila shaka majibu kuhusu timu gani ushayapataKwa Timu Gani Mlokuwa Nayo Nyie Zuwena FC, Mzamiru, Kyombo, Bocco Na Sawadogo Ndio Wanawapa Kiburi Sio?
Hapa Horoya alikuwa kashalipwa ile hela yake au bado?Simba apigwe tu ...
Kutakuwa kuna siri liliyojificha nyuma ya huo ungaHoroya piga hawa wabuya unga 😅
Imeisha hiyo[emoji23]Mungu ulituagiza na kusema asiyefanya kazi asile, ila afanyaye jitihada ya kazi na ashinde. Mungu abariki kazi ya vibuyu ifanikiwe.
Nawatakia mema Simba & Yanga
Hiyo imani bado ipo?ni kweli, ila nna imani na Horoya
Wameshamkana rafiki yao.. Wanadai ati Horoya walikuwa katika mgomoFriends of Horoya are you still there?
Kwikwikwikwikwi..... Wanadai Horoya hakulipwa hivyo walikuwa na mgomo...Hapa Horoya alikuwa kashalipwa ile hela yake au bado?
Tunashukuru kwa dua zako tayari ishapigwa 7Piga mikia hiyooooooo
Yanga imeimarika sana jamani tuseme ukweli, maana miaka miaka minne iliyopita kazi pekee waliyokuwa wanaijua ni kupokea wageni tu hapa Airport!Unajiskiaje pamoja na majina hayo yote, kusikia tumeshinda bao 7?
Dah... Maombi mengine haya[emoji16]Mungu ibariki Horoya Ac, ikashinde sawa sawa na mapenzi yako....Amen
Hata JK alikiri hali ilikua dhohofu nauli tu ya kwenda Mbeya ilikua lazima bakuli lipite.Yanga imeimarika sana jamani tuseme ukweli, maana miaka miaka minne iliyopita kazi pekee waliyokuwa wanaijua ni kupokea wageni tu hapa Airport!
Sema kweliUtatafutana na nani, mtatafutana wenyewe huko na kikosi chenu hicho cha wastaafu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hebu niache mie niendelee kuiombea my fav team HOROYA [emoji3577][emoji3577][emoji3577]