Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Vipi ulibahatika kupata wenzako mkajuana?Team Horoya tujuane mapema
Ft Thimba 1-2 Horoya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi ulibahatika kupata wenzako mkajuana?Team Horoya tujuane mapema
Ft Thimba 1-2 Horoya
Duh... Naona Utopolo nao wapi kwenye record za CAF, lakini wao ni kwa kupata kisago cha aibuJE, WAJUA?
Kwa ushindi wa magoli 7-0 dhidi ya #Horoya, #Simba imekuwa timu ya pili kutoa kipigo kikubwa zaidi katika historia ya Hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika
Vipigo vitano vikubwa zaidi katika hatua hiyo ni
#TPMazembe 8-0 #ClubAfricain (2019),
#Simba 7-0 Horoya (2023),
#ASECMimosas 7-1 #CRBelouizdad (2001),
#RajaCasablanca 6-0 #Yanga (1998)
#Enyimba 6-0 #BigBullets (2004)
Walikimbiana hadi leo hawajuani walikoVipi ulibahatika kupata wenzako mkajuana?
Tutamfilisi huyu mama jaman, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]“Wekeni mpira kwenye wavu “pesa bado zipo! by S S Hassan!
Alipotea half time ahahahBado yupo active?
Hadi mashabiki nao wana mikimbioWalikimbiana hadi leo hawajuani waliko
Ndio MkuuHadi mashabiki nao wana mikimbio
Nakusalimia kalpama,mi ndo naamka sahiziMmeamkaje wana Simbaaaaaaa
Sisi kwetu ni furaha hakuna makasiriko
Mtoto wa kike utakosa mume kwa kushabikia utopolo..Mungu ibariki Horoya Ac, ikashinde sawa sawa na mapenzi yako....Amen
Pole kwa uchovu mwana lunyasi..hakika hii weekend imekua nzuri sanaaNakusalimia kalpama,mi ndo naamka sahizi
Kwamba siku hizi tunapangiana nn mtu aandike Jukwaani?We unapoandika hii ulikuwa umejiandaa kisaikolojia?
Au hata saikolojia huna?
Hatupangiani na wala hatukumbushani kuhusu kupangianaKwamba siku hizi tunapangiana nn mtu aandike Jukwaani?
Nobody daresIf you fck with this winning, hit a chest 7 times like King Kong
View attachment 2557776
HahahahaFT ulimaanisha featuring?
Huu ni wa kurithiHivi we una ujinga wa kusomea au wakuzaliwa?
Saikolojia ndio imemuandaa [emoji23]We unapoandika hii ulikuwa umejiandaa kisaikolojia?
Au hata saikolojia huna?
Kindly thanks[emoji23]Horoya kindly naomba unipunguzie kelele kwenye mabanda umiza
Kindly thanks
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
The coach was right"Huyu kocha anazingua sana,Kibu ilikuwa Sub ya mapema sana,kumuacha Kibu dkk 90 nikutukosea heshima kabisa,inauma sana" Shabiki wa tawi la mpira pesa baada ya dk 90