FT: Simba SC 7-0 Horoya AC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa | 18.03.2023

FT: Simba SC 7-0 Horoya AC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa | 18.03.2023

JE, WAJUA?


Kwa ushindi wa magoli 7-0 dhidi ya #Horoya, #Simba imekuwa timu ya pili kutoa kipigo kikubwa zaidi katika historia ya Hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika

Vipigo vitano vikubwa zaidi katika hatua hiyo ni

#TPMazembe 8-0 #ClubAfricain (2019),

#Simba 7-0 Horoya (2023),

#ASECMimosas 7-1 #CRBelouizdad (2001),
#RajaCasablanca 6-0 #Yanga (1998)

#Enyimba 6-0 #BigBullets (2004)
 
JE, WAJUA?


Kwa ushindi wa magoli 7-0 dhidi ya #Horoya, #Simba imekuwa timu ya pili kutoa kipigo kikubwa zaidi katika historia ya Hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika

Vipigo vitano vikubwa zaidi katika hatua hiyo ni

#TPMazembe 8-0 #ClubAfricain (2019),

#Simba 7-0 Horoya (2023),

#ASECMimosas 7-1 #CRBelouizdad (2001),
#RajaCasablanca 6-0 #Yanga (1998)

#Enyimba 6-0 #BigBullets (2004)
Duh... Naona Utopolo nao wapi kwenye record za CAF, lakini wao ni kwa kupata kisago cha aibu
 
Back
Top Bottom