FT: Simba SC 7-0 Horoya AC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa | 18.03.2023

FT: Simba SC 7-0 Horoya AC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa | 18.03.2023

Kuna fala kabetia mke huku
 
"Ilikuwa mechi nzuri wachezaji wetu walikosa tu umakini,ila dk 15 za mwanzo tungeweza kuongoza goli 3,Kibu kakosa goli mbili za wazi na ile iliyogonga nguzo,Simba leo hatukuwa na bahati tu..... nadhani tujipange Kwa msimu ujao maana Kwa waarabu ni ngumu kutoboa "Shabiki wa tawi la wekundu wa terminal


Guvu moya [emoji3]
Ukapakwa mafuta
 
Ahahahh
FB_IMG_16792024717918967.jpg
 
Yaah ila hawa jamaa ni wazuri mipira ya juu,kwenyemipira ya kutengwa inabidi muwe vizuri sana,sababu jamaa ni warefu sana.
Takwimu zinaonesha jana walipata kona 160 na freekick 80 lakini on target sikumbuki
 
"Ilikuwa mechi nzuri wachezaji wetu walikosa tu umakini,ila dk 15 za mwanzo tungeweza kuongoza goli 3,Kibu kakosa goli mbili za wazi na ile iliyogonga nguzo,Simba leo hatukuwa na bahati tu..... nadhani tujipange Kwa msimu ujao maana Kwa waarabu ni ngumu kutoboa "Shabiki wa tawi la wekundu wa terminal


Guvu moya 😀
Hofu yangu haya maneno tunaweza tukayasikia leo
 
Game hata bado kuanza lakini uzi unashambuliwa balaa..hii ndio baba wa mpira Tanzania[emoji1306][emoji1306][emoji1306]

Utopolo hata kunywa maji hawataki[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wakumbushe waje wamalizie walipoishia jana
 
Back
Top Bottom