SquareOne1
Senior Member
- Nov 28, 2020
- 125
- 143
Sema kweliSimba SC 1-1 Horoya AC
FT
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema kweliSimba SC 1-1 Horoya AC
FT
Ukapakwa mafuta"Ilikuwa mechi nzuri wachezaji wetu walikosa tu umakini,ila dk 15 za mwanzo tungeweza kuongoza goli 3,Kibu kakosa goli mbili za wazi na ile iliyogonga nguzo,Simba leo hatukuwa na bahati tu..... nadhani tujipange Kwa msimu ujao maana Kwa waarabu ni ngumu kutoboa "Shabiki wa tawi la wekundu wa terminal
Guvu moya [emoji3]
If you fck with this winning, hit a chest 7 times like King KongSimba anapigwa kama NGOMA leo! Mandonga Mtu kazi Simba WAMEYAKANYAGA Tena.
FT ulimaanisha featuring?Simba SC 1-1 Horoya AC
FT
We unapoandika hii ulikuwa umejiandaa kisaikolojia?Daah poleni sana Simba fans,leo mnapata sare...mjiandae kisaikologia msije sema sikuwaambia
Kwa ujinga wako uliilaza familia na njaaMikia fc Sha wauwa kwenye mkeka wangu naamini amta niangusha mchapwe za kutosha yaniiii mpelekewe motoo [emoji91][emoji91]
Huko sare bado inaonekana?😀😀😀Naiona sare, daah inauma sana
Mbona mnaniandama jamani [emoji3][emoji2089][emoji2089]FT ulimaanisha featuring?
Huwenda maneno hayo yakasemwa leo"Kwa matokeo haya basi tena,mwaka huu tumekosa ubingwa na kucheza robo "
Maneno ya shabiki mwenye hasira kali baada ya sare na Horoya
Cheki naye huyuLiwapate lolote linalowastahili na ulozi wenu
Unajiskiaje uliyemtuma aje kutuchora ametukuta tumeshika picha zake?Horoya kindly naomba unipunguzie kelele kwenye mabanda umiza
Kindly thanks
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kibonde vipers ametoka droo na Raja..so huyo pua kubwa anaropoka tuu hakuna kibonde kwny group
Takwimu zinaonesha jana walipata kona 160 na freekick 80 lakini on target sikumbukiYaah ila hawa jamaa ni wazuri mipira ya juu,kwenyemipira ya kutengwa inabidi muwe vizuri sana,sababu jamaa ni warefu sana.
Hofu yangu haya maneno tunaweza tukayasikia leo"Ilikuwa mechi nzuri wachezaji wetu walikosa tu umakini,ila dk 15 za mwanzo tungeweza kuongoza goli 3,Kibu kakosa goli mbili za wazi na ile iliyogonga nguzo,Simba leo hatukuwa na bahati tu..... nadhani tujipange Kwa msimu ujao maana Kwa waarabu ni ngumu kutoboa "Shabiki wa tawi la wekundu wa terminal
Guvu moya 😀
Bado yupo active?Yani ww kwny uzi wa Simba uko active mnoo wa kwenu sasa mpk mfunge moja ndo unatokeza kama kicheche 😆 😆
Hasira za kukopwaa kinyeo na mzungu, amtulie yule rafiki ake aliye mkuwadia. Mxxxxieeeeeew
Wakumbushe waje wamalizie walipoishia janaGame hata bado kuanza lakini uzi unashambuliwa balaa..hii ndio baba wa mpira Tanzania[emoji1306][emoji1306][emoji1306]
Utopolo hata kunywa maji hawataki[emoji1787][emoji1787][emoji1787]