Mbona unaongea kinyonge sana mtani๐Tunajua ndo mnaombea hivyo ila haitokuwa .
Tutashinda hata kwa ushindi mwembamba kikubwa tupate Points 3 Wananchi. Teh.
Duuh ๐ค ๐ค ๐ค ndio narudi Sasa hivi Sina hamu na hiyo mvua ya magoli
Du
Duuh [emoji848] [emoji848] [emoji848] ndio narudi Sasa hivi Sina hamu na hiyo mvua ya magoli
Hajapigwa ban kweli!!?Labani og ๐๐๐