Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Leo sare mkuu,nakuonea huruma sana after 90'Kushinda tutashinda hata kwa kuwaibia
Huyo ni mbumbumbu mwenzio namjua huyo dogo ana kijisaluni chake pale mtonganiUna akili sana wewe🫡
Duh
mtasema yote ila dakika 90 uwanjani zitatosha kabisa kuiendeleza/kuizima furaha yenu.Uzi umeingiliwa na wanga na walozi mapemaaa
a.k.a wachamba wima
Kaa hapa ushuhudie, Ahjumma.Bila kusahau ka kibwagizoView attachment 2556111
Simba 3 : 1 Horoya
Naungana na wewe mtani, mm ni Simba na daima kimataifa Huwa naiombea sana Yanga ishinde.Kila lakheri Watani. Mkishinda nyie imeshinda Tanzania.
Leo hakuna sare ni kipigo tuLeo sare mkuu,nakuonea huruma sana after 90'
😀😀😀Naiona sare, daah inauma sanaLeo hakuna sare ni kipigo tu