joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Naona mmefungulia bomba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona mmefungulia bomba.
Unaweza ukashangaa leo akaibeba timu.Nadhan dakika 35 zinamtosha kibu nitashangaa akifikisha dakika 60
Kocha kamwamini. Tumwombee awe sahihi.Nadhan dakika 35 zinamtosha kibu nitashangaa akifikisha dakika 60
Amna,huyo tunamjua hii game horoya watakaa nyuma sana so kibu sio chaguo sahihiUnaweza ukashangaa leo akaibeba timu.
Kibu aheshimiwe mkuuIla huyu kocha wa simba anatuonaje sisi kwamba hatujui mpira au! Sasa game kubwa kama hii Kibu wa nini? Halafu anamchezesha ntibazonkiza katikati No 10 na chama anacheza kama winga sijui huu mfumo kautoa wapi, siku zote chama anakuwa na madhara akitokea katikati na sio pembeni anakomchezesha.
Yaah ila hawa jamaa ni wazuri mipira ya juu,kwenyemipira ya kutengwa inabidi muwe vizuri sana,sababu jamaa ni warefu sana.Amna,huyo tunamjua hii game horoya watakaa nyuma sana so kibu sio chaguo sahihi
Yap, wanaweza taka kutumia counter tatizo ni kwamba wanautaka sana huu ushindi na wao, watalazimika kufunguka.Amna,huyo tunamjua hii game horoya watakaa nyuma sana so kibu sio chaguo sahihi
Nyie acheni maneno mabovu, Kibu D ni the best player! Tuwaombee tu.Nadhan dakika 35 zinamtosha kibu nitashangaa akifikisha dakika 60
Ngoja tujipe mdaYap, wanaweza taka kutumia counter tatizo ni kwamba wanautaka sana huu ushindi na wao, watalazimika kufunguka.
KabisaNgoja tujipe mda
Utakuja kuniambia badae ni swala la mdaNyie acheni maneno mabovu, Kibu D ni the best player! Tuwaombee tu.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Ooh. Sawa Mtani.Nipo mtani ushindi muhimu
Kwasababu ya early game pressure mtafikiri anakosea lakini ni best playerUtakuja kuniambia badae ni swala la mda