FT: Simba SC 7-0 Horoya AC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa | 18.03.2023

FT: Simba SC 7-0 Horoya AC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa | 18.03.2023

Humkosi yanii na yuko sambamba mpk mwisho...hahahaha
Dah huyu Mwana huwa simuelewi lakini ni mnafiki laivu bila chenga, anavyoipamba Simba mpaka na Hashtag juu 😂 😂 😂 😂
 
Yani ww kwny uzi wa Simba uko active mnoo wa kwenu sasa mpk mfunge moja ndo unatokeza kama kicheche [emoji38] [emoji38]
Muheshimu sana kicheche, kwa hizo akili hawezi kumfikia kicheche hata kwa mbali.
 
Back
Top Bottom