Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
"Ilikuwa mechi nzuri wachezaji wetu walikosa tu umakini,ila dk 15 za mwanzo tungeweza kuongoza goli 3,Kibu kakosa goli mbili za wazi na ile iliyogonga nguzo,Simba leo hatukuwa na bahati tu..... nadhani tujipange Kwa msimu ujao maana Kwa waarabu ni ngumu kutoboa "Shabiki wa tawi la wekundu wa terminal
Guvu moya 😀
Guvu moya 😀