Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii mechi ni ngumu sanaSimba waongeze goli jingine,ili wajihakikishie pointi 3
kama kukasirika kunaondoa uanaume basi leo utaondokaAcha makisiriko mwanaume hawi hivi
Bado 2 au MOJA17' Simba 1-0 Horoya
Ndio maana tunacheza na double-pivot ya Kanoute na Mzamiru. Kazi yao kuu ni kufanya cover ya nafasi za wenzao wanapoenda kushambulia. Modern FootballKuna matatizo mengine ni ya kujitakia. Shomari ww ni beki unapopanda uelewa kuwa nyuma hakuna beki upande wako. Toa pasi haraka urudi uwaachie wenye jukumu lao.
Kumbe unawafahamu vizuri baadhi ya mashabiki wenzako jinsi walivyo vigeugeu, wanafiki, na wasivyo na mioyo ya uvumilivu.Mmeshaanza kutoa kasoro..mbona ni kawaida kukosea? Hao hao muda mwingine wanasaidia..
1Bado 2 au MOJA
Sana halafu jambo la ajabu wachezaji wa Simba mbele na kati hawakabi ipasavyo kiasi wanawaacha jamaa wanacheza free kabisa. Hizi back pass pia naziogopaHoroya kasi yao inanitisha
Sijajua kwasababu situmii