Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,120
- 24,667
Hebu uthibitishe mkuu...leo ndio nimeamini ushirikina upo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu uthibitishe mkuu...leo ndio nimeamini ushirikina upo
Acha kuchanganyikiwa bana, yaani hao Horoya wamekuwehusha hivi? Yanga kafata nini hapo?42' Simba 3-0 Yanga & Horoya
Mambo vipiTeam Horoya nawasalimia kwa macho mawili 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Waliita Simba timu ndogo, kosa kubwa sana lile.Hawa horoya wamekuja kurupu kurupu watakula nyingi hawato amini
Uwe unajifunza kuwa na akiba ya maneno hata kiasi tuu itakusaidia sana maishani,,,Sawa Dogo!!!Fix sana we jamaa.. leo mtapigwa kipigo cha mbwa koko,kipigo ambacho chozi lake litawatokea ulimini! Kipigo Chenye pigo lisiloisha ukali wake!
Unaanza kupagawa wewe. Utapigwa kata funua ujute kupita roboNileteeeni Mamelodi
Nileteeeeeni Mamelodi
Nileeteeeeeeeeeeeeni Mamelodi
(kwa sauti ya Jiwe)
💪💪💪💪.... na shangazi yake na mjomba ake...
SitakiMambo vipi
NakogoooaaaaJamaniiiii le nyekundu imeshaiiiiiiiiiiiiiiniiiiiiii
simba hawana uwezo wa kumfunga horoyaHebu uthibitishe mkuu...
This is Simba 😀😀😀Jamaniiiii le nyekundu imeshaiiiiiiiiiiiiiiniiiiiiii