Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Hapo walifeli wana thiiiiiombaaaaa na aliowashauri ndo aliewarogaOh na like bus kurudi kinyume nyume je?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo walifeli wana thiiiiiombaaaaa na aliowashauri ndo aliewarogaOh na like bus kurudi kinyume nyume je?
Hata mimi naamini ilikuwa bahati tu walituotea😊Bahati tuu
Mkuu unapatikana wapi?Anayemtaka mke wangu aje amchukue
Siyo kwa raha hzi za simba [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Hebu basii na ww hahahahahaRaisi wa Horoya kaka mtanashati, kama namuona muda huu. Simba sitawasamehe kumfanya yule kaka akose raha 😔😔😔😔
Hahaha sijui mganga gani huyo alitushauri vile😭🤣Hapo walifeli wana thiiiiiombaaaaa na aliowashauri ndo aliewaroga
Hongereni na Channel nimebadilisha sababu ,Horoya mmemkosakosa sana sana tano.Katika mashabiki wa Yanga ww uko very real..kwny ukweli hupepesi hata ukipondeq unapondea ukweli mtupuuu...
club bigwa mwaka huu imejaza timu za kipumbavu
1.vipers
2.horoya
3.coton sport
4.zamalek
5.simba
Kila kipa ataondoka na goli zake.Second half
Horoya wamefanya sub ya kipa
Hivi mtani umemuona, Raisi wa Horoya lakini?Hebu basii na ww hahahahaha
Ewaa!Bob jr yule marehemu wa serengeti?😅😂
Na bado wanataka kumfananisha na yule aziz ufunguoMiguu ya Chama itakuwa ina ubongo
Nashauri afamyiwe vipimo kuna vitu anavifanya ni vya kustaajabisha