FT: Simba SC 7-0 Horoya AC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa | 18.03.2023

FT: Simba SC 7-0 Horoya AC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa | 18.03.2023

2F5DCD66-F407-46D8-BF34-FE06C865F7A1.jpeg
 
Kabla ya mechi nilimsikia mdau anasema Horoya ni wakali ndio maana makampuni ya betting yametoa odds nyingi kwa Simba

Nikamuambia Muhindi sio mjinga we jichanganye baadaye tuhesabiane hasara.

Sijui kama alibeti ila naona kaweka mkino shavuni kama ana jino bovu
 
Hizi sasa sifa wazee..tulitaka kweli kushinda lakini sio kama hivi!🤣
 
Back
Top Bottom