FT: Simba SC 7-0 Horoya AC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa | 18.03.2023

FT: Simba SC 7-0 Horoya AC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa | 18.03.2023

Horoya kwa namna wanavyocheza ilikuwa halali wapigwe nyingi, kwanza awakumuheshimu mpinzani ambaye yuko nyumbani kwake, wameingia kwenye mchezo wakafunguka kuanzia dk ya kwanza ya mchezo, na hapo hapo wakashindwa kujielewa kwamba sio wazuri ni timu ya kawaida sana ambayo nafikiri bado wanajitafuta ili kurudi kwenye ule ubora waliokuwa nao misimu miwili iliyopita ambapo waliuza wachezaji wengi sana na kuacha wengi pia, Sasa unapokutana na timu kama hii basi zitumie nafasi unazopata kiuhakika na ndicho walichofanya simba leo, kujisifu sana pia dhidi ya timu kama hii napo sio sahihi sana, unaweza ukajiona bora kumbe uliyekutana nae pia ni garasa, Ongereni jiandaeni vizuri dhidi ya wanaokuja kwenu ambao sio tena horoya bali ni timu aswaaa
Leo tena Horoya imekuwa timu mbovu? Wabongo bwana, kwanini usiseme timu bora imekutana na timu bora zaidi?
 
.
IMG_20230318_204116.jpg
 
Halafu kitakachouma zaidi ni kwamba kesho yanga anafungwa na Mazembe anashinda then wanakutana Lubumbashi pale ndo watajua hawajui.

Simba huyooo kafuzu,ila Yanga hatafuzu
 
Back
Top Bottom