Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
Pesa ya Mwanamke mkuu mpaka miaka 1000 ijayoHujakosea, lini Tena offer ๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa ya Mwanamke mkuu mpaka miaka 1000 ijayoHujakosea, lini Tena offer ๐๐๐๐
Jamaniii atakaye weka namba hapa namrushia buku tano fasta niko kwa wakala
Ila ni tam, na jana nilikuambia unipende kwanza ๐๐Pesa ya Mwanamke mkuu mpaka miaka 1000 ijayo
4.Maudi wanatafuta kichaka ...tumekaa pale tunawasubiri kesho.Tunawaombea Mema..wachezee maombi yetu๐๐๐Utakuwa ni mtu wa ajabu kama hujui sababu za Simba kushangilia.
1. Robo fainali
2. Ushindi mnono
3. Horoya na yeye angekuwa na nafasi ya kuingia robo fainali kama angeshinda( Kwahiyo, ilikuwa fainali).
4. Simba ilikuwa inasemwa vibaya sana( ushindi huu unawafanya maadui waaibike na kutahayari).
Kutoka kidogo watu washaweka Namba ๐๐Pesa ya Mwanamke mkuu mpaka miaka 1000 ijayo
Nani alimtuma kuja huku..Punguza uongo,walitumwa waingie huko?no 3 nimesha kwambia horoya hakuja kushindana tayari wana mgomo baridi wa kunyimwa m100 waliyo haidiwa na raisi wao
raja na ubabe wake nyumbani kwake kashinda 2 kwa 1 ww una uwezo gani wa kushinda 7 (ndo nakwambia horoya alikuja kamilisha ratiba tu sio ushindani)
Ongeza sauti kabisaaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leo kama uwe shabiki wa yanga halafu mke shabiki wa simba, na bahati mbaya uwe hauna nguvu za kiume nakuhakikishia kesho mapema mke lazima akachepuke na shabiki mwenziwe wa simba mwenye nguvu za kiume
Wabongo tuna roho mbaya sana.Dah yaani huwa hamtaki kabisa kukubali uwezo wa mnyama! Lazima mtafute sababu tu ya kumdharau. Hivi simba angefungwa leo ungeandika ulivyoandika? Mkuu mpira ni wa uwazi kabisa ifike wakati tukubali uwezo wa simba, kwa leo simba wamebadilika sana tofauti na mechi tatu zilizopita. Makosa waliyoyafanya horoya ni ni kuidharau simba wakiamini wanaweza kufanya chochote matokeo yake wakakutana na simba iliyoimarika sana leo wakapotea mazima kilichofuata ni 7 bila.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Fix sana we jamaa.. leo mtapigwa kipigo cha mbwa koko,kipigo ambacho chozi lake litawatokea ulimini! Kipigo Chenye pigo lisiloisha ukali wake!
Mashabiki Wapumbavu wako wengi sana. Wewe hukosekani kwenye hiyo listangewapa uone impact ya iyo picha raja aliye kukanda 3 na anaye enda kukukanda 7 kwake alipoteana kwa horoya ya bila mgomo
42' Simba 3-0 Yanga & Horoya
Ya nini tena ๐ค๐คNina offer wakuu๐๐
Kuna jambo linaenda kuwakuta hapo robo fainali, sidhani kama ni jambo jema!Ni ruksa kucheka ila usiwe karibu na kambi ya Horoya wakakusikia
Yanga wameumia kuliko hororya daahhWabongo tuna roho mbaya sana.
Sisi hatuhusiki na ahadi zao.
Kafungwa Man U 7.Sembuse Horoya.Mpira una maamuzi magumuu.
Waendelee na Migomo,watakula migomo hiyo na raisi wao
Kwa hiyo mmehamisha magoli?Kuna jambo linaenda kuwakuta hapo robo fainali, sidhani kama ni jambo jema!