FT: Simba SC 7-0 Horoya AC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa | 18.03.2023

FT: Simba SC 7-0 Horoya AC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa | 18.03.2023

Hivi mtani Shadeeya huu uzi umeusoma mpaka mwisho kweli?

Ikiwa umebanana soma tu japo heading ila ujue Chama kashinda 3 Mzuka, Jean Baleke na Putin wana dabali kwani Horoya walikuwa na pancha kibao.

Kwa ufupi Simba wanaidai Ikulu ya Chamwino shilingi milioni 35 tu.
 
Utakuwa ni mtu wa ajabu kama hujui sababu za Simba kushangilia.
1. Robo fainali
2. Ushindi mnono
3. Horoya na yeye angekuwa na nafasi ya kuingia robo fainali kama angeshinda( Kwahiyo, ilikuwa fainali).
4. Simba ilikuwa inasemwa vibaya sana( ushindi huu unawafanya maadui waaibike na kutahayari).
4.Maudi wanatafuta kichaka ...tumekaa pale tunawasubiri kesho.Tunawaombea Mema..wachezee maombi yetu๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
.
Screenshot_20230223-173613.jpg


Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
 
no 3 nimesha kwambia horoya hakuja kushindana tayari wana mgomo baridi wa kunyimwa m100 waliyo haidiwa na raisi wao

raja na ubabe wake nyumbani kwake kashinda 2 kwa 1 ww una uwezo gani wa kushinda 7 (ndo nakwambia horoya alikuja kamilisha ratiba tu sio ushindani)
Nani alimtuma kuja huku..Punguza uongo,walitumwa waingie huko?
Haya ya kunyiwa pesa hayako kwenye mashindano haya
Labda tuombe CAF waongeze hicho kipengele, punguzeni SHOBO DUNDO..

Simba angefungwa usingeandika UOZO kama huo.

Tupunguze ujuaji.

Simba amefanya vizuri ni sifa na apongezwe.

Na Yanga naye afanye vizuri taifa liogopeke kimichezo.

Hiki kilikiwa kilio chetu miaka nenda miaka rudi.

Angalau sasa hizi team mbili zinatupa mwanga na kuhamasisha vijana kujituma katika Soka.Na ligi yetu itazidi kupanda.


Haya mengine ni Uozo warudi kwao.
 
Leo kama uwe shabiki wa yanga halafu mke shabiki wa simba, na bahati mbaya uwe hauna nguvu za kiume nakuhakikishia kesho mapema mke lazima akachepuke na shabiki mwenziwe wa simba mwenye nguvu za kiume
Ongeza sauti kabisaaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dah yaani huwa hamtaki kabisa kukubali uwezo wa mnyama! Lazima mtafute sababu tu ya kumdharau. Hivi simba angefungwa leo ungeandika ulivyoandika? Mkuu mpira ni wa uwazi kabisa ifike wakati tukubali uwezo wa simba, kwa leo simba wamebadilika sana tofauti na mechi tatu zilizopita. Makosa waliyoyafanya horoya ni ni kuidharau simba wakiamini wanaweza kufanya chochote matokeo yake wakakutana na simba iliyoimarika sana leo wakapotea mazima kilichofuata ni 7 bila.
Wabongo tuna roho mbaya sana.
Sisi hatuhusiki na ahadi zao.

Kafungwa Man U 7.Sembuse Horoya.Mpira una maamuzi magumuu.
Waendelee na Migomo,watakula migomo hiyo na raisi wao
 
Fix sana we jamaa.. leo mtapigwa kipigo cha mbwa koko,kipigo ambacho chozi lake litawatokea ulimini! Kipigo Chenye pigo lisiloisha ukali wake!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom