Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Ulipo tupooo mtani hahahah🙂🙂Nyie wakimatakfa tuu huku local waachieni wala mihogo. Kaleni burger mapiza huko sijui rabat, mara sauz.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulipo tupooo mtani hahahah🙂🙂Nyie wakimatakfa tuu huku local waachieni wala mihogo. Kaleni burger mapiza huko sijui rabat, mara sauz.
Kafanyaje tena? DooooKkkmk sakho uchoyo hautakufikisha popote
Ila hii bado ligi haijaisha, tofauti na kutolewaDooh!! Naiona diroo tena hapo Mtani. Teh teh.
Dah kwa hiyo ule mzemo wa kwamba u hawi hauvuki bahati ni batili. Maana nyie huko kimataifa mnapiga tuu lakini hapa nyumbani hali mbayaNgoja tutafute mganga wa local.😂😂
Hahahaaa. Lol.Furaha ni kuwa na marafiki, haswa wavaa jezi nyekundu kama sisi
Tutakuwa na point 18 lakini usijali maana wala mihogo wakishavurugwa leo na Waarabu kule Tunisia wakifika hapa watapoteza mechi kadhaa kwa stress watakazokuwa nazo za kutolewa CC.Ligi bado sana hii kwa sasa,mradi tu tusipoteze hii mechi japo kushinda ingekuwa ni vizuri zaidi.Tukitoka droo ndo inakua ajeee kwamba magoli yanaongezeka kuwa 14 pwente ngapi?
Kwani we ni timu gani eti?Dah kwa hiyo ule mzemo wa kwamba u hawi hauvuki bahati ni batili. Maana nyie huko kimataifa mnapiga tuu lakini hapa nyumbani hali mbaya
Mbaya sana Kwa kweli... hatuna mzuka wa ushindi kabisaDah kwa hiyo ule mzemo wa kwamba u hawi hauvuki bahati ni batili. Maana nyie huko kimataifa mnapiga tuu lakini hapa nyumbani hali mbaya
Mbona hali sio mbaya kihivyoo? Yani tunaongoza magoli unasema tuna hali mbaya 😆Dah kwa hiyo ule mzemo wa kwamba u hawi hauvuki bahati ni batili. Maana nyie huko kimataifa mnapiga tuu lakini hapa nyumbani hali mbaya
Mie mpenzi wa mpira bwana sina timu....nabirudika na burudana na utani wa watani wa jadi. Nakusubiria saa mbili nianze kukutania na weweKwani we ni timu gani eti?
Hahahaaa. Eti unaanza naye. LolChendambu please acha tuendelee kufurahia mpira. Naelewa wamekuanza, ila wakaushie. Kama mtu aliona unamboa ange ignore tu, si kuanza kukuita jina alilokuita. Wewe uko kama mimi mtu asipokuja kwa adabu naanza naye tu kwani sh. Ngapi? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Ila relax bro...