Dish
JF-Expert Member
- Jun 3, 2019
- 624
- 922
Nilikua no network zone [emoji23][emoji23][emoji23]
Sisi wa kimataifa huku tumewaachia nyie mihogo fc. Tunasubiri tupangwe na Mamelodi tukamtungue hukohuko kwao.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikua no network zone [emoji23][emoji23][emoji23]
Sisi wa kimataifa huku tumewaachia nyie mihogo fc. Tunasubiri tupangwe na Mamelodi tukamtungue hukohuko kwao.
Ni kweli anatakiwa achunguzwe yule kipa. Bahasha imetembea pale.Hongereni mikia maana bila yule kipa kuwapa Sadaka,saizi mngekuwa mnamtukana Mgunda tu
Hahahaaa. Kweli aisee Swahiba.makolo wana gundu na tanesco
Hahahaaa. Weeee.Nilikua no network zone 😂😂😂
Sisi wa kimataifa huku tumewaachia nyie mihogo fc. Tunasubiri tupangwe na Mamelodi tukamtungue hukohuko kwao.
Yamekuwa haya Mtani. 🤣🤣Mgunda hakuna kocha pale. Simba watafute kocha haraka sana.
Babu muamala mpaka saivi emptySaa nne uwepo hapa
makoll awakosagi sababu hao,in mgunda we trust apewe mkataba haraka iwezekanavyoYamekuwa haya Mtani. 🤣🤣
Ile mnataka kucheza Derby kila kona ilikuwa mlete Mgunda leo hii hafai tena.
😀😀makoll awakosagi sababu hao,in mgunda we trust apewe mkataba haraka iwezekanavyo
Simba nguvu mojaKumbe wee simbaa
Poleni jana naona haikuwa siku nzuri kwenu....anyways jpili nyundo inamahukia ihefuSimba nguvu moja
Hawakuwa kwenye siku zaoPoleni jana naona haikuwa siku nzuri kwenu....anyways jpili nyundo inamahukia ihefu