FT: Singida Big Stars 1-1 Simba SC | Ligi Kuu Bara | Uwanja wa Estadio de Liti 09/11/2022

FT: Singida Big Stars 1-1 Simba SC | Ligi Kuu Bara | Uwanja wa Estadio de Liti 09/11/2022

Nilishawahi kusema simba kwa sasa ana timu ya kawaida sana sio ile simba ya miaka minne nyuma.. wazawa wengi umri umeenda na wameshuka viwango, wachezaji wa kigeni ukitoa inonga wanaobaki karibu wote ni overrated mbaya zaidi kwa miaka takribani miwili mfululizo simba kafanya usajiri wa ovyo, hapa bongo simba inazipiga timu za chini ila timu nzuri zinamsumbua kule caf wale wamalawi na waangola mliowatoa wangecheza na yanga wangetolewa kwa aggregate kubwa zaidi ya magoli ila kwa ubora wa simba wa sasa sina uhakika kama angeweza kumtoa al hilal au club african., njia aliyopita simba kule caf ni kitonga sana ukilinganisha na aliyopita yanga.. ila mashabiki wa simba walinishambulia, ukweli mchungu ambao mashabiki wa simba hawataki kuukubali ni kwamba "timu yao haina ubora mkubwa ambao wanafikiria kuwa wanao"
Hapa kuna vitu navikubali na vingine navikataa. Ni kweli squad ya Simba pamoja na benchi benchi lake la ufundi wanauwezo wa kawaida sana ila swala la kusema kuwa wale wa Malawi na wa Angola wametolewa sababu ya ubovu nakukatalia. Simba wameshakuwa na upepo mzuri sana na michuano ya kimataifa. Yanga wangepangwa na wale wa Angola tungetolewa nakuhakikishia.. inapokuja swala la michuano ya kimataifa kuna gap kubwa sana kati ya Simba na Yanga

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Hapa kuna vitu navikubali na vingine navikataa. Ni kweli squad ya Simba pamoja na benchi benchi lake la ufundi wanauwezo wa kawaida sana ila swala la kusema kuwa wale wa Malawi na wa Angola wametolewa sababu ya ubovu nakukatalia. Simba wameshakuwa na upepo mzuri sana na michuano ya kimataifa. Yanga wangepangwa na wale wa Angola tungetolewa nakuhakikishia.. inapokuja swala la michuano ya kimataifa kuna gap kubwa sana kati ya Simba na Yanga

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Wale wamalawi na waangola nimewaangalia hawana mpira wowote wa kuisumbua yanga., al hilal kafanya usajiri mkubwa ile timu inamilikiwa na tajiri mkubwa sana wana kocha mwenye cv nzuri afrika na wameingia group stage miaka minne mfululizo kitu ambacho iyo simba imeshindwa kwaiyo sioni ajabu kuitoa yanga tena kwa kupaki basi dakika zote 180 hao watunisia ndo tusiwaongelee kabisa wote tunajua gap la soka kati ya tanzania na tunisia kama yanga ingekutana na big bullets na agosto kuna uwenzekano mkubwa zaidi yanga angepita ila kama simba ingekutana na al hilal au club african kuna uwezekano mdogo sana wa simba kupita
 
Ila inakuja inaifunga simba sasa sjui nani boya
Boya ni nyie ambao mnashindwa kutafuta point za kujikombea huko kwa wadogo mnakuja kucheza kufa kupona mwishowe mtenguke nyonga mkose watoto bureeee. 😀 😀 😀 😀
 
Boya ni nyie ambao mnashindwa kutafuta point za kujikombea huko kwa wadogo mnakuja kucheza kufa kupona mwishowe mtenguke nyonga mkose watoto bureeee. 😀 😀 😀 😀
Quality yetu ni kubwa kuliko nyie
 
Kolo ilitakiwa alale yoo bahati yake, muache ashangilie draw maana alikua anakalishwa leo.
All in all haka katimu big stars wananchi wajiandae, wale wachezaji wa pale ni shoka kwelikweli.
Leo ndo nimeangalia game yao kwa mara ya kwanza kuna holding midfielder yao ina afro namba 8 mgongoni shombeshombe fulani hivi yule jamaa anajua anatembeza mpira simple and clear yaani unaweza ukafikiri ball halihitaji mazoezi kabisa
 
Wale wamalawi na waangola nimewaangalia hawana mpira wowote wa kuisumbua yanga., al hilal kafanya usajiri mkubwa ile timu inamilikiwa na tajiri mkubwa sana wana kocha mwenye cv nzuri afrika na wameingia group stage miaka minne mfululizo kitu ambacho iyo simba imeshindwa kwaiyo sioni ajabu kuitoa yanga tena kwa kupaki basi dakika zote 180 hao watunisia ndo tusiwaongelee kabisa wote tunajua gap la soka kati ya tanzania na tunisia kama yanga ingekutana na big bullets na agosto kuna uwenzekano mkubwa zaidi yanga angepita ila kama simba ingekutana na al hilal au club african kuna uwezekano mdogo sana wa simba kupita
Al Hilal pamoja na kusajili na kuwa na Ibenge umeona kuna mpira gani wa ajabu walioucheza? Na hata hao wa Tunisia hapa Tanzania walikuwa wa kawaida tu Tufikie wakati tukubali watani zetu wamepiga hatua sana kwenye hii michuano. Sisi hata kuutumia nafasi ya kucheza nyumbani hatuwezi. Simba wamezigfunga timu ngumu zaidi ya ya hawa akina Al Hilal

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Hakuna aliekamiwa bhana simba haina uwezo mkubwa kama ambavyo mashabiki wanafikiri, hapo kwa mkapa alipigwa na azam tena sio kwa kubahatisha mpira alipigiwa
Simba ni timu ya kawaida mnooo tofauti na mashabiki wao mambumbumbu wanavyopiga kelele
 
Al Hilal pamoja na kusajili na kuwa na Ibenge umeona kuna mpira gani wa ajabu walioucheza? Na hata hao wa Tunisia hapa Tanzania walikuwa wa kawaida tu Tufikie wakati tukubali watani zetu wamepiga hatua sana kwenye hii michuano. Sisi hata kuutumia nafasi ya kucheza nyumbani hatuwezi. Simba wamezigfunga timu ngumu zaidi ya ya hawa akina Al Hilal

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Waarabu ni kawaida yao kutafuta sare away alafu wanakuua kwao na hata hao al hilal sio kwamba ndo uchezaji wao ule wakikutana na timu wanazozimudu wanamiliki possession ila walijua wakiweka mpira chini kwa yanga wanaweza wakaumia ikabidi wapaki basi wacheze kaunta attack.., ujasoma andiko langu vizuri simba ni kweli miaka miwili mitatu nyuma wametisha ila nimeongelea ubora wa sasa simba yenye front line ya miquisone, chama, kagere kwenye ubora wao uwezi kulinganisha na hii ya wakina dennis kibu.. ni kweli simba angeweza kumfunga al hilal miaka mitatu au minne nyuma lakini kwa simba ya sasa hivi hapana mzee mwenzangu bado sina uhakika kama simba ya sasa ingeweza kupita kwa al hilal au club african
 
Mimi nafikiri Kocha Mgunda hana uwezo wa kuisadia simba Kwa sasa. Timu inacheza kama ina homa ya vipindi leo onàshinda kesho inafungwa siyo predictable.
Wasipobadilisha kocha, muda siyo mrefu itaanza kufungwa na timu kama ihefu.
Ihefu sii ndio mechi ijayo jamani hapo boli litatembea msiwe wepesi wakukandia kocha
 
Matola
Mgunda hawatatusaidia

Kibu
Mkude
Nyoni
Mzamiru
Bocco

Hawatatufikisha popote
 
Mgunda hakuna kocha pale. Simba watafute kocha haraka sana.
 
Back
Top Bottom