Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata huko pia hatupaswi kuombeana duaKwa hiyo unataka nikuombee uifunge Singida Big Stars, ili uongoze ligi! Hilo sahau aisee. Uzalendo ni kwenye mechi za kimataifa tu.
Binafsi huwa nakuwa upande wenu mkicheza mechi za Kimataifa! (Ingawa huwa mnachonga sana) ila mkicheza na timu ya ligi kuu, aisee haitatokea hata siku moja nikawa upande wenu.
Huyo ni mzabzab heee habari yake ndefu sana...unaogopa nn
Lile FUTA la alizeti limetushinda tumezoea mafuta ya samaki.Hahahaaa. Eti ndo umekuja. Lol
Sawa najua itakavyo kuwaTunapokezana Mkuu.
Unaweza kurudi mwaya usijali.Tanesco watu basi, nawaza hapa usiporudi mmmh...
Nimefanyaje tena jamaniHuyo ni mzabzab heee habari yake ndefu sana...
Poleni sana Mtani. Ndo tunawaacha hivyo.Lile FUTA la alizeti limetushinda tumezoea mafuta ya samaki.
Tulia kama moja... 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nimefanyaje tena jamani
Huku kwetu umerudi sasa msije mkakimbia hiyo saa mbili. Tena wee unasemaga walala mapema leo hakuna kutoa hiyo sababu. Kaa uangalie jinsi boli litakavyotembeaUnaweza kurudi mwaya usijali.
Huu uzi ni mahususi kwa ajiri ya mechi ya singida vs simba iyo timu nyingine unayolazimisha kuijumuisha hapa wala haihusiki., itakua vyema point zikilenga zaidi kwenye game ya simba vs singidaMnaotucheka hapa, baadaye msije na dhana ya kiujamaa kusema uzalendo
Ili siku iwe mbaya kwetu ni kuwa na hakika kuwa nyinyi mtashinda
Tukifungwa tutakuwa tumepoteza points 3 basi nyinyi mnabidi mshinde ili muwe na siku nzuri zaidi
Kwasababu mkifungwa mtakuwa mmepoteza points 3 na millions of money pamoja na CV mbovu
Pia hamtaishia hapo tu hata safari ya kocha itakuwa mwisho wake ndio hapo, wale vibopa mliokuwa mnawasifia wote wataonekana wana damu ya mandonga tu
Mnapigana kupata droo 🤣
Mnakipiga saa ngapi?Hahahaaa. Eti ndo umekuja. Lol
Hii ni kama kwenu tu saa hii wenzako ndo wanaanza kuja kuja ila mwanzoni walikuacha peke yako.Sawa najua itakavyo kuwa
Mkishinda mtakuwa ma warrior huku mitandaoni hadi mitaani
Mkipoteza mtapoteana huku mitandaoni hadi mitaani bila kujali kuwa kuna kipande cha furaha ulikipata baada ya kuona sare ya Simba
Naandika hivyo kwasababu nawajua, mi sio wageni na nyie afu sijui huwa mnaambizanaga
20:00hrs EAT. 😂Mnakipiga saa ngapi?
Ila inakuja inaifunga simba sasa sjui nani boyaEndelea kukariri Azam haina maajabu ki hivyooo kama inafungwa na ihefu.
Game inayoongelewa hapa ishaisha mkuu au unaulizia game ganiSawa sawa huu utaratibu wa kuombeana dua mbaya ndio tuliouzoea and we are okay with that
Hawa watu waliokuja na sera za kiuzalendo ni wakuwapuuza tu, watuache na utaratibu wetu
Game saa ngapi?