uberimae fidei
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,679
- 4,283
Yanga Leo wanaenda kumpiga mtu Kama ngomaNa wewe nae uje pm nikupe 15k baadae. Ile atmosphere tuu ya rhades tayari wala mihongo watakuwa wanatetema.
Alafu ujue wale jamaa wana tabia ya star players wao kutocheza away match