Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Wachezaji utawajua mechi ya marudiano na wanalamba lambaHakuna simba ilipopaniwa simba haina wachezaji wazuri ina vituko tu sakho ni comedy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachezaji utawajua mechi ya marudiano na wanalamba lambaHakuna simba ilipopaniwa simba haina wachezaji wazuri ina vituko tu sakho ni comedy
Labda January mnunu wachezaji watatu wa maana viungo wawili wabunifu wenye akili timamu sio kanouteUbingwa bado upo kwa Lunyasi mbona ipo waziii
Cha ajabu wanafurahia eti. Hahahaaa.
Anyway mliocheza leo wote ni vibonde wa azam sare ilikuwa maatokeo fair kwenuNyie mnaoshangaa drooo ya moya kwa moya mbona ndo ushindi wenu huoo hapo utopoloni? Yani nyie nyingi kwenu ni droo na mkifunga basi ushindi mwembambaaa
Huwa tunawahonga hadi nyie ndo maana tukikutana kwenye ligi hamfui dafu.Mnaweza kuhonga kwa hilo nawapeni vyura FC ubingwa.
Sisi hatujwahi kuwa kibonde.. labda akili zinawaaamisha hivyo Azam haijawahi mfunga Simba zaidi ya juzi.Anyway mliocheza leo wote ni vibonde wa azam sare ilikuwa maatokeo fair kwenu
Wee sijipendi namba yangu situmi na pm imefungwaaaa 😂😂😂😂😂😂. Tunashinda leo...Nasema hivi....mkitonoa leo pale rhades. Tuma namba yako pm nikutumia 15k.
😂😂 wanasahau game ya ligi kuu ijayo sisi tukishinda tunawaacha kwa points tano.Wapo kama jina lao la mbumbumbu fc😂😂😂😂
Usije ukapotea tuu mida ya saa nne usiku ukaleta kisingizio upo na shemejiWee sijipendi namba yangu situmi na pm imefungwaaaa 😂😂😂😂😂😂. Tunashinda leo...
Hakuna aliekamiwa bhana simba haina uwezo mkubwa kama ambavyo mashabiki wanafikiri, hapo kwa mkapa alipigwa na azam tena sio kwa kubahatisha mpira alipigiwaConfirmed Simba hawezi kuwa Bingwa mwaka huu kama hatakuwa na mikakati ya ziada wanapocheza viwanja nje ya Mkapa. Poor performance leo. Umakini mdogo na walicheza utadhani walihitaji sare tu.
Na hawataamini.Wee sijipendi namba yangu situmi na pm imefungwaaaa 😂😂😂😂😂😂. Tunashinda leo...
Wamepata sare ya kubahatisha, wanashangilia eti!!Makolo kama kawaida yao.