whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,904
- 9,342
Simba ni wa kimataifa bana😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matokeo yakiwa hamjafurahia jumba bovu anaangushiwa Matola, ila matokeo yakiwa upande wenu sifa nyingi zinaenda kwa Jumanne Mgunda. Na maneno kede kede kuwa Guardiola mnene. Basi kwa zuri na baya, tambueni uwepo wa Matola.Mgunda kivuli tu pale matola ndo head coach wa simba kumuanzisha kanoute mkude na mzamiru zile ni tactics za matola sio mgunda naamini hvyo.
Huyo sakho ana akili muda mwingine ohooooo wee muache hapo hapoooMtu bora ununue jersey ya Azam kumuangalia kipre jr kuliko sako mchezaji hana akili kabisa
Twende na dau 15k,ulie vizuriBraza acha ndoto za kina Bantu lady leo mnafukuza bwana nabi. Pipa la emirates kurudi dar hatapanda🤣🤣🤣🤣
Alafu safari ndefu kweli maana tunis to dubai masaa 6 ongeza na masaa tano unusu dubai dar mtafika mmechoka sana
Ah wee utakuta maneno yako kesho wala usijali.Umeme wamekata, ukiona kimya jua charger imeniangusha na inaishia hapa ...
Nakubaliana na ww. Hata talent ya wachezaji wanazidiwa na wachezaji wa timu ndogo tu ambazo hazina mishahara mikubwa kama wao.Hakuna aliekamiwa bhana simba haina uwezo mkubwa kama ambavyo mashabiki wanafikiri, hapo kwa mkapa alipigwa na azam tena sio kwa kubahatisha mpira alipigiwa
Tunapokezana Mkuu.Ila Yanga bana walivyofurahi utafikiri sio hawa ambao utawakataa baadaye baada ya game yao
Ngoja nitafute ile chart ilokua inatembea humu labda kama nn
Hapati number sakho ata akienda KMC Kwa makang'aHuyo sakho ana akili muda mwingine ohooooo wee muache hapo hapooo
Saa nne uwepo hapaTwende na dau 15k,ulie vizuri
unaogopa nnWee sijipendi namba yangu situmi na pm imefungwaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Tunashinda leo...
Endelea kukariri Azam haina maajabu ki hivyooo kama inafungwa na ihefu.Hata tukichezaa mechi 100 na simba kwa ile team hawezi mfunga Azam
Uto wanakamilisha ratiba saa ngapi?Tujiandae pia mida ya saa 2 usiku kusherehekea mapinduzi ya meza kutoa Utunisian[emoji3][emoji3]
Saa nne uwepo hapa
We nae hebu tupishe bwana. 🙄 🙄 🙄 🙄 🙄 🙄Bila red card mbili simba ata kwa mtibwa asingefua dafu
Hahahaaa. Eti ndo umekuja. LolUto wanakamilisha ratiba saa ngapi?
Tanesco watu basi, nawaza hapa usiporudi mmmh...Sie kwetu umerudi huu saa 12.
Nilishawahi kusema simba kwa sasa ana timu ya kawaida sana sio ile simba ya miaka minne nyuma.. wazawa wengi umri umeenda na wameshuka viwango, wachezaji wa kigeni ukitoa inonga wanaobaki karibu wote ni overrated mbaya zaidi kwa miaka takribani miwili mfululizo simba kafanya usajiri wa ovyo, hapa bongo simba inazipiga timu za chini ila timu nzuri zinamsumbua kule caf wale wamalawi na waangola mliowatoa wangecheza na yanga wangetolewa kwa aggregate kubwa zaidi ya magoli ila kwa ubora wa simba wa sasa sina uhakika kama angeweza kumtoa al hilal au club african., njia aliyopita simba kule caf ni kitonga sana ukilinganisha na aliyopita yanga.. ila mashabiki wa simba walinishambulia, ukweli mchungu ambao mashabiki wa simba hawataki kuukubali ni kwamba "timu yao haina ubora mkubwa ambao wanafikiria kuwa wanao"Nawasiwasi na uwezo wa mgunda, mechi ngumu zote hajapata ushindi. Ukianza na Kmc, Azam, Yanga na leo singida. Tusipumbazwe na matokeo ya cafcl njia tuliyopitia ni nyepesi sana
Ukoje?unaufahamu uwanja wa mkwakwani tanga