Magoli gani tenaMbona hali sio mbaya kihivyoo? Yani tunaongoza magoli unasema tuna hali mbaya 😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magoli gani tenaMbona hali sio mbaya kihivyoo? Yani tunaongoza magoli unasema tuna hali mbaya 😆
Oohoooo!! Umeshasahau ya msimu ulopita eeh?Ila hii bado ligi haijaisha, tofauti na kutolewa
Nafasi yakutoa pasi wenzake wafunge analazimisha apige yeyeKafanyaje tena? Doooo
Hakuna namnaHahahaaa. Lol.
Naamini na upande wako ni vivyo hivyo Mtani.
Huyu mihogo kabisaNafasi yakutoa pasi wenzake wafunge analazimisha apige yeye
Tusiishi kwa historiaOohoooo!! Umeshasahau ya msimu ulopita eeh?
Mkurya mimi, inatakiwa heshima iwepo. Ila mtu akijifanya mjuaji natambaa naye 😆😆😆😆😆Hahahaaa. Eti unaanza naye. Lol
Ila una ka umikia wewe bana. 😂😂😂Mie mpenzi wa mpira bwana sina timu....nabirudika na burudana na utani wa watani wa jadi. Nakusubiria saa mbili nianze kukutania na wewe
Subiri leo naweka bando la kuwatania wiki nzimaMie mpenzi wa mpira bwana sina timu....nabirudika na burudana na utani wa watani wa jadi. Nakusubiria saa mbili nianze kukutania na wewe
Wala ...mie nipo neutral kabisaaaa. Sii unaona navyomtaniaga KalpanaIla una ka umikia wewe bana. 😂😂😂
naomba update ya matokeo huko
Kumbe nawewe umemuona eeh? Anajificha nini sijui mzabzabIla una ka umikia wewe bana. 😂😂😂
Watapotea kwenye ramani hapa wiki nzima baada ya leo kushindwa kupindua zuliaSubiri leo naweka bando la kuwatania wiki nzima