Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana.Mpira ni Kiwango , sio kusajili sajili wachezaji weeengi ukifikiri ndio Ushindi 🤣🤣🤣🤣
Makolo mmesajili wachezaji karibu 100 halafu hamna kitu🤣🤣🤣
Wamejifunza kwa mbumbumbuNi half time , ni mda wa kuelewana na kuafikiana dau ifikiwe,Singida wajanja sana wametikisa ili dau lifikiwe,utaona red card ya kujitafutia
yanga leo hadi wanacheza netball uwanjani wamelowa vyupihuu ndo mpira sasa ndo inafaa kuitwa mpinzani wa yanga achana na nyau
Sio kwa vita hii.Ni half time , ni mda wa kuelewana na kuafikiana dau ifikiwe,Singida wajanja sana wametikisa ili dau lifikiwe,utaona red card ya kujitafutia
Jinga lilisika hukoWanajifanya eti wamekamiana ili kuzuga ili hali matokeo yanajulikana
Sasa kwanini msishinde wakati mnahong marefa, Simba ilifungwa kwa ajili ya Yanga kuhonga marefaWamejifunza kwa mbumbumbu
Na nyinyi mlipofungwa mara 4 mfululizo mlikuwa wangapi uwanjani?Mtaachaje kushinda na wakati mpo 12 uwanjani dhidi ya wapinzani wenu??
Hapana, hizo ni Rumuors ndio maana nimekutaka uweke ushahidi na hujaweka kwasababu huna, umejitungia tu maneno 🤣Hapana.
Uhalisia unaonesha unapingana na kauli yako.
Mpira ni uwekezaji.
Na huo uwekezaji sio kwenye usajili kama wengi wanavyodhani. Ni uwekezaji wa nje ya uwanja katika kuamua matokeo.
Mkicheza na Simba huwa mna kitete kuanzia kupitia milango isiyo rasmi mpk kuhonga marefa...huu ndo mpira sasa ndo inafaa kuitwa mpinzani wa yanga achana na nyau
hii gemu kipindi cha pili kutakuwa na penalt nimekaa pale huku nikisubiri red cardNi half time , ni mda wa kuelewana na kuafikiana dau ifikiwe,Singida wajanja sana wametikisa ili dau lifikiwe,utaona red card ya kujitafutia
Tulia uandike vizuri refa halafu anakuwaje uchebe au gamondi? yule ni assistant coach wa Singida.kuna refa katolewa ngeu kasizi chini lango la kuingila uwanja, ni uchebe au gamo ??
Nasubiri jibu hapa 🤣🤣🤣Na nyinyi mlipofungwa mara 4 mfululizo mlikuwa wangapi uwanjani?
Kama wenzenu wanahonga na kushinda mechi, kwa nini na nyinyi msifanye hivyo? Au hamna hela za kuhongea ili tuwakopeshe?Sasa kwanini msishinde wakati mnahong marefa, Simba ilifungwa kwa ajili ya Yanga kuhonga marefa
Wacha manenoNi half time , ni mda wa kuelewana na kuafikiana dau ifikiwe,Singida wajanja sana wametikisa ili dau lifikiwe,utaona red card ya kujitafutia