kovai tamil taiga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 1,451
- 2,059
Hapana ni utopolo iliyopigwa 6simba ipi hii iliyo pigwa 5 ama ingine
Kolo nyamaza, ndio maana nimemtaka Scars aweke ushahidi wa bahasha hapaMkicheza na Simba huwa mna kitete kuanzia kupitia milango isiyo rasmi mpk kuhonga marefa...
Ngoja tuhifadhi hii "comment" yako! Moderators "comment" hii iwekwe kwenye jalada la kumbukumbu za wanaoomba kupigwa ban, ili wakati ukifika mhusika apewe haki yake aliyoiomba mwenyewe, bila kupepesa macho.Mpaka sana Mwigulu 0-Mchemba 0
Yanga wasipopewa tuta nipigwe ban ya mwezi.
Kulizuka ugomvi mkubwa kwenye lango ni muendelezo wa ugomvi wa mbenchi walipokuwa uwanjani, kwenye vurumai kuna moja kapigwa pigo zitoNimeona mtu akigaagaa chini kwenye lango la kuingia uwanjani nini kimetokea?
USSR
Kolo mmesajili wachezaji 50 halafu matokeo ndiyo yale ya kupigwa kila mara...🤣🤣🤣Hapana ni utopolo iliyopigwa 6
Kuja kwako kuna tatizo gani? Nikiendelea na wote wawili kuna tatizo?Endelea na uliye mqoute....
Tunataka kadanda safi maji yatajitenga na mafutaKama wenzenu wanahonga na kushinda mechi, kwa nini na nyinyi msifanye hivyo? Au hamna hela za kuhongea ili tuwakopeshe?
Sio tumewaweka nafasi ya tatu, ubovu wenu ndio umewaweka hapo. Na hata iyo nafasi ya tatu nayo mnapaswa kuipambania sana..Pale utopolo wanapojipa hati miliki ya kuwa mabingww na kuiweka Simba nafasi ya tatu...kweli nyie hamnazo...
Mazuzu pro Max...
Tuta lazima iwepo bahasha inaruhusuNgoja tuhifadhi hii "comment" yako! Moderators "comment" hii iwekwe kwenye jalada la kumbukumbu za wanaoomba kupigwa ban, ili wakati ukifika mhusika apewe haki yake aliyoiomba mwenyewe, bila kupepesa macho.
Utopo acha kujitekenya na kucheka mwenyewe..naona unajipa moyo kwa kucheka huku unaumia..kikosi kinakupa stress...sajilini na nyinyi..yani kipimo cha wachezaji wa simba unataka kukipima kwa kucheza na utopolo ya kayoko??? 🤔🤔Kolo mmesajili wachezaji 50 halafu matokeo ndiyo yale ya kupigwa kila mara...4 x 4 🤣🤣🤣
Jibu nikikuqoute sasa mbona kama unadandia tren kwa mbele...ww umemqoute mwingine unajibu kwangu...Kuja kwako kuna tatizo gani? Nikiendelea na wote wawili kuna tatizo?
Kazi mnayoNgoja kwanza nipate bia hapa
Unachekesha umati, hasa wenye akili timamuUtopo acha kujitekenya na kucheka mwenyewe..naona unajipa moyo kwa kucheka huku unaumia..kikosi kinakupa stress...sajilini na nyinyi..yani kipimo cha wachezaji wa simba unataka kukipima kwa kucheza na utopolo ya kayoko??? 🤔🤔
Hiyo siyo debry ni ubishi tu kati ya baba na mwanaHii inafaa kuitwa Daby sasa, kidooogo wametushughulisha
Wewe wasema🤣🤣🤣Hiyo siyo debry ni ubishi tu kati ya baba na mwana