EricMan
JF-Expert Member
- Oct 5, 2017
- 3,050
- 5,420
kwa rafu izo lazima itokeNaiona kadi nyekundu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa rafu izo lazima itokeNaiona kadi nyekundu
Njoo tumpige mawe huyo refa walaqhi'..mimi
utapata hasira uue..😂Aisee natamani ningekuwepo 😀😃😎😎
Labda wanajitafutia nyekundu.Kwakweli hawa wanaleta maigizo kipindi cha kwanza
Hyo kocha wa yanga kila mechi anawaka sema waamuzi wanambeba tu ila alitakiwa kila mechi ale njano maana wanadeka sana.Gamondi kawaka mamamaeeeeee [emoji3][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji3][emoji2][emoji2]
😃😃😃😃utapata hasira uue..😂
Yanga ....mashogaSimba....MBUMBUMBU
Azam.....mbumbumbu
coastal....MBUMBUMBU
namungo....mbumbumbu
Mtibwa....mbumbumbu
N.k
Kama kuna Mtu anadhani kuwa Yanga SC leo (katika hii Mechi dhidi ya Ndugu zao) ama atatoka Sare au Suluhu au atafungwa huyo si tu ni Mpumbavu bali pia ni Mwendawazimu.⚽️ Singida BS🆚Young Africans SC
📆 30.10.2024
🏟 New Amaan Complex
🕖 8:30 PM
View attachment 3138679
Kikosi kinachoanza dhidi ya Singida Black Stars Sc
View attachment 3139371
Mpira umeanza
Dakika ya 2
Sbs 0- 0 yng
Dakika ya 3
Boka amefanyiwa madhambi
Dakika 6
Mabadiliko katoka boka kaingia kibabage
Dakika ya 15
Yanga wanafanya mashambulizi
Dakika ya 16
Yanga wanapata Kona hapa
Dakika ya 20
Sbs 0-0 yng