samakinchanga
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 2,024
- 1,233
Hawa jamaa wa Singida wanacheza rafu sana na wamekamia hii mechi
Hovyo sana
Hovyo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimiNani naye yupo Amaan Stadium nimsabahi..?
Refa akiwa KayokoKipimo cha ubora wa timu katika ligi yetu kinapimwa na Young Africans.
Sasahivi anakula yellowMzee Aucho anaLaLamika ...
Shida nn..? C ana kosi pana? Amweke MaxGamondi kawaka mamamaeeeeee 😀😃😃😃😃😃😃😃😃😀😃😃
Wamepewa njanoMambo gani haya? Makocha wanakaribia kula umeme, dah!
Max hayupo 😀😃😃😃😃Shida nn..? C ana kosi pana? Amweke Max
Kwakweli hawa wanaleta maigizo kipindi cha kwanzaNdugu ni ndugu wakigombana chukua jembe.
Makocha Wana mihemkoMambo gani haya? Makocha wanakaribia kula umeme, dah!
Aisee natamani ningekuwepo 😀😃😎😎Nani naye yupo Amaan Stadium nimsabahi..?