FT: Singida BS 0-1 Young Africans SC | NBC Premier League | New Amaan Complex | 30.10.2024

FT: Singida BS 0-1 Young Africans SC | NBC Premier League | New Amaan Complex | 30.10.2024

Hahaha, wanafootball ndio kina sisi...tunaufahamu mpira...turudi kwny mada Kolo,

Ninyi hamna uwezo wa kutufunga mara 4 mfululizo na hamtakuwa nao, hata mkirogea juu ya bahari

Sawa Kolo? 😅
Kwa sababu mna marefa zenu mmewaweka mfukoni si ndio?? Kama ndivyo basi endeleeni kubanjuka...ipo siku yenu
Utopwox...gongowaz
 
Unaongea kama unatapika zuzu wa kiutopolo...😊😊 nadhani wana football wabobevu wanakushangaa...
Tunakushangaa wewe unayeshambulia wazazi wake kwenye mambo ya kiutani wa Jadi...
 
Tunakushangaa wewe unayeshambulia wazazi wake kwenye mambo ya kiutani wa Jadi...
Wazazi wake wapi?? Hebu tuache tunataniana sisi naona unataka kuleta vitu personal...
Kusema mpira wa babu yake..
 
Kwa sababu mna marefa zenu mmewaweka mfukoni si ndio?? Kama ndivyo basi endeleeni kubanjuka...ipo siku yenu
Utopwox...gongowaz
Hahaha...wafa maji hawaachi kutapatapa

Marefa wetu ni wakina nani? Unaweza kuwataja kwa ushahidi uso shaka?

Au ndio mnamengenywa mpaka mnashindwa kujitetea na kuanza kutunga maneno? 🤣🤣🤣
 
Huyu mchezej wa ihefu wa zamani yupo pemben anaona kabisa amezid anakimbilia mpira.

Akili ni mhm sana.
 
Wazazi wake wapi?? Hebu tuache tunataniana sisi naona unataka kuleta vitu personal...
Kusema mpira wa babu yake..
unaona jambo dogo hilo?
onesha uungwana kwa kukiri kosa! hukupaswa kufanya hivyo
 
Back
Top Bottom