Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio anazo tatuMe siwazii kwenye red ila naona kama ana yellow 3
Kafanya uzembe mkubwa mnoWenzao yanga wanapata nafasi ila anabutua nje.
Ndio ubingwa unaupataje bila point 3 ?Sisi Utopolo kwa sasa kikubwa ni point 3
Hili jamaa Kama una dawa kalichune tu.. Ni litajiri🙄🙄View attachment 3139485Mwigulu anavyochekelea sasa....SBS walitaka kumuua kwa presha...
Kwishaa habari yake hata hvyo sure boy anaweza kuwa spea taili next game na tuko Azam tena chamazi ni home kwakeNdio anazo tatu
Aaah kumbee..basi sawaSisi Simba kikubwa Mungu atusaidie maana hatuna hata uhakika wa point 3
Kabisa Mkuu naunga mkono hojaKwishaa habari yake hata hvyo sure boy anaweza kuwa spea taili next game na tuko Azam tena chamazi ni home kwake
Utawaweza basi.Kafanya uzembe mkubwa mno
Makolo hawana uwezo wa kucheza na Singida BSSingida wako vizuri shida wamekutana na yanga wajaribu kwa makolo wanawezq chukua 3 muhimu
Tumuulize hamisa Mobeto..Aziz ki nguvu za miguu zimekwenda wapi kaka?
Hatuwezi kujibu hoja bila kumuangalia na mtu mwenyewe kwanzaJibu hoja zake, acha hayo mambo.
Jibu hoja, usimjibu mtu.
Lini walikua wanaruka uwanjani..Makolo hawana uwezo wa kucheza na Singida BS
Watapigwa mpaka watapike, wale wamesajili wachezaji 50 lakini wote wanaruka ruka tu uwanjani [emoji1787][emoji1787][emoji3059]
Uje uungane nae mje wawili kama mtaniweza maana nyie nyote nimewapiga msimu huuUtawaweza basi.