Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Lini hawakuruka ruka uwanjani?Lini walikua wanaruka uwanjani..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lini hawakuruka ruka uwanjani?Lini walikua wanaruka uwanjani..
Niungane na mwenzenu?Uje uungane nae mje wawili kama mtaniweza maana nyie nyote nimewapiga msimu huu
Kuna siku Makolo hawaruki ruki uwanjani na kubutua mipira hovyo wakiongozwa na Shomari Kapombe?Lini walikua wanaruka uwanjani..
Nduguyo Azam fc mje woteNiungane na mwenzenu?
Na wewe si utumie...GB 64 alisema wanatumiq dawa sa kuongeza nguvu 😃
Sio huyu?Nduguyo Azam fc mje wote
Dk 3+ za nyongezaHivi wakuu mechi imeshaisha?
Wewe hautakiSio huyu?
ndioHivi wakuu mechi imeshaisha?
Naomba no zake 😆Hili jamaa Kama una dawa kalichune tu.. Ni litajiri🙄🙄
Tunawasubiri mzunguko wa 2Wewe hautaki
Huna timu ya kumfunga Yanga.Tunawasubiri mzunguko wa 2