Village-in
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 2,184
- 4,517
Hawa Singida BS wakikutana na kolo wanamnywa supu mzima mzima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makolo hayaeleweki nini yanataka leo yalikua yanaishabikia singida ambayo yanadai ni Yanga BMakolo Kwa ujinga wako vizuri Leo walitegemea singida ndo iwaokoe.
Itakuwepo.Huna timu ya kumfunga Yanga.
ItakuwepoHauna timu ya kumfunga Yanga SC
SawaRefa akiwa Kayoko
Kuna maigizo kupita ile timu iliyofungwa mara nne mfululizo na timu moja?Maigizo nawaambia subirini muone
Sasa msipromoti hyo mechi ionekane ina ushidani kumbe maelekezo tayari.Uzuri na nyinyi mlipokea hako kabahasha kamoja! Kwa hiyo msiwaonee wivu wenzenu.
SawaItakuwepo
Maigizo tuliyaona October 19. Haiwezekani unajiita timu kubwa halafu unafungwa na timu moja mara nne mfululizo.Tunao angalia maigizo tujuane
Unakata moto baada ya nusu saa,huna timu ww kushindana na Yanga dk 90.Jenga fitness ya wachezaji wako,kabla ya kuanza kujenga timu yako.Itakuwepo.
Usiwe na haraka mkuu wakati wa kukandwa utafika na utakandwa baraabara non stop.Unakata moto baada ya nusu saa,huna timu ww kushindana na Yanga dk 90.Jenga fitness ya wachezaji wako,kabla ya kuanza kujenga timu yako.
Bora acheze Abuya au Mkude nafasi ya Aucho kuliko Sure boyKwishaa habari yake hata hvyo sure boy anaweza kuwa spea taili next game na tuko Azam tena chamazi ni home kwake
Tukiacha ushabiki! Mechi ilikuwa ngumu kutokana na ubora wa timu zote mbili. Pacome ameamua matokeo kwa uwezo wake binafsi!Awa singida Kuna timu naiona inaenda kuwapa point watake wasitake, quality ya wachezaji walionao wanastahili kuwepo nafasi ya pili