FT: Singida BS 0-1 Young Africans SC | NBC Premier League | New Amaan Complex | 30.10.2024

FT: Singida BS 0-1 Young Africans SC | NBC Premier League | New Amaan Complex | 30.10.2024

Usiwe na haraka mkuu wakati wa kukandwa utafika na utakandwa baraabara non stop.
Ww huna timu yani hauna. Hawa Singida wazuri kuliko ww.

Ukikutana na timu ina nidhamu nzuri ya ukinzi na fitness nzuri, utaishia kupigwa au droo ndio maana Coastal walikupa tabu,Yanga ndio kabisa ukicheza dk 30 baada ukapotea.
 
Sasa msipromoti hyo mechi ionekane ina ushidani kumbe maelekezo tayari.

Inchi hii mechi ngumu kwenu ni moja tu.

Simba VS nyuma mwiko fc.mechi zingine zote bahasha na maagizo toka juu.
Sasa nyinyi mna ugumu gani! Mechi nne mfululizo mnafungwa!! Hawa Singida Black Stars kuanzia leo ndiyo washindani wetu wa kweli. Ila siyo nyinyi Visingizio Fc.
 
Bora acheze Abuya au Mkude nafasi ya Aucho kuliko Sure boy
Bado hujamfahamu Babu kaju vizuri sure boy ni 6 ya kisasa kabisa siku akipawasha pale kati utatamani mpira usiishe sioni mchezaji wa kumuweka sure boy nje istoshe abuya sita haiwezi
 
Mkianza kubamizwa itakuwa mfululizo mno mkuu. Ni suala la muda. Itakuwa ni pigwahukupigwakule Fc
Wewe ndio ujiandae kupamizwa mfululizo maana,ukikutana na timu ina nidhamu nzuri ya ulinzi na fitness nzuri, utaishia kupigwa au droo ndio maana Coastal walikupa tabu na walikuwa wanakupiga,Yanga ndio kabisa ulicheza dk 30 baada ukapotea,mkaanza kivuta watu mashati. Viongozi wenu lawama wamempa Kayoko na Camara,ili kuficha maboko yao ya usajili.
 
Wananchi MEMKWA wenu Hapa kilichotokea ,

Ni Mbuzi wa Bwana Kheri alikuwa anakula majani ndani ya Shamba la Bwana Heri. Ndio maana hamkuona reaction yoyote baada ya Kuzawadiwa goli la Pacome..

Ila kwa hawa MEMKWA...Kazi mnayo Mwaka huu...!

Halafu Mumshauri Aucho, Kwa Umri wake na Vile Alivyosuka Nywele hakuwa poa kbs,
Mkumbusheni Umri wake keshakuwa Mtu Mzima Sasa.!
Huyu kiafrika ni Mzee wa Kuongoza msafara Wa Kupeleka Mahari sehemu kbs.!
 
Wananchi MEMKWA wenu Hapa kilichotokea ,

Ni Mbuzi wa Bwana Kheri alikuwa anakula majani ndani ya Shamba la Bwana Heri. Ndio maana hamkuona reaction yoyote baada ya Kuzawadiwa goli la Pacome..

Ila kwa hawa MEMKWA...Kazi mnayo Mwaka huu...!

Halafu Mumshauri Aucho, Kwa Umri wake na Vile Alivyosuka Nywele hakuwa poa kbs,
Mkumbusheni Umri wake keshakuwa Mtu Mzima Sasa.!
Huyu kiafrika ni Mzee wa Kuongoza msafara Wa Kupeleka Mahari sehemu kbs.!
Tulia ni kimoja cha mbuzi mpaka kileleni wewe mwenyewe hapo ni jamvi na wageni kila mtu anakaa tulia, maumivu yakizidi muone daktari
 
Singida BS wapuuzi sana,sasa kulikuwa kuna haja gani ya kujifanya wanakaza!
 
Kiko wapi sasa

1730318568612.png
 
Bado hujamfahamu Babu kaju vizuri sure boy ni 6 ya kisasa kabisa siku akipawasha pale kati utatamani mpira usiishe sioni mchezaji wa kumuweka sure boy nje istoshe abuya sita haiwezi
Unazungumzia Sure boy wa zamani sio huyu wa sasa, mechi ngumu hawezi huyo. Kwani mechi ambayo Yanga anapoteza goli 2-1 dhidi ya Azam unajua ni nani alichukua nafasi ya Aucho kama sio huyo huyo Sure boy? Gamondi sio mjinga kwenye mechi dhidi ya Mamelodi kumpanga Mkude. Mpira ni mchezo wa wazi, Sure boy uchezaji wake unaonekana na mapungufu yake yanaonekana wazi kabisa, hawezi mechi ngumu.
 
Wewe ndio ujiandae kupamizwa mfululizo maana,ukikutana na timu ina nidhamu nzuri ya ulinzi na fitness nzuri, utaishia kupigwa au droo ndio maana Coastal walikupa tabu na walikuwa wanakupiga,Yanga ndio kabisa ulicheza dk 30 baada ukapotea.
Ni suala la muda, Sina wasiwasi na Simba sababu najua inaenda ikiongezeka ubora na tunajua January itazidi kuwa bora.

Kwa Yanga hii nakiri ipo kwenye peak ya ubora ila hizi timu zetu tunazijua zikishakaa kwenye peak misimu mitatu minne mfululizo, kifuatacho ni kipigo cha mwizi.
 
Ushindi gani Sasa, Hadi Singida Wenyewe Wamefurahi....!

Mtafuteni Mwi Gulu.....mumuhoji kudhibitisha hili...!

Huyo Mzee kwa Sasa Magego yote nje Roho Kwatu...!
 
Hawa Yanga tusipoangalia wanaweza kuokota ubingwa tena kimzaha mzaha. Kila timu akikutana naye inakula chuma japokuwa ushindi mwembamba.
 
Ni suala la muda, Sina wasiwasi na Simba sababu najua inaenda ikiongezeka ubora na tunajua January itazidi kuwa bora.

Kwa Yanga hii nakiri ipo kwenye peak ya ubora ila hizi timu zetu tunazijua zikishakaa kwenye peak misimu mitatu minne mfululizo, kifuatacho ni kipigo cha mwizi.
We hujui mpira tuliza komwe hilo
 
Hawa Yanga tusipoangalia wanaweza kuokota ubingwa tena kimzaha mzaha. Kila timu akikutana naye inakula chuma japokuwa ushindi mwembamba.
Hii sasa yanga ya mwaka huu ni bora sana sana ubigwa kwao ni kugusa tu.
 
Man U inafanya mauaji mpaka sasa 4-1 naona Roon Van kaanza vizuri.
 
Back
Top Bottom