FT: Singida FG 1 - 1 Simba (PNT: 2 - 3) | Mapinduzi Cup Semi Final | Amani Complex | 10.01.2024

GOOOOOOOOOLLL.....SAIDOOOOOOOOOOOOOOOO



Namna Gani pale......Simba wanapata goal hapa Kwa uzembevwa kip[emoji32][emoji32][emoji3063][emoji3063]




Natania bana [emoji23][emoji23][emoji23]

Taabu ipo pale pale
 
unajua TFF na corruption beau za bongo ni useless. game kama hizi una report fifa corruption wanakuta report tu.
 
Tâtiez lenu SSC mnainvest kwenye sajili za kupamba wachezaji Badala ya kuacha mashabiki wapambe wachezaji kwa kiwango chao
 
HUjui hata mpira kaa kimia kama TFF na ZFF ni kitu gani.
 
GOOOOOOOOOLLL.....SAIDOOOOOOOOOOOOOOOO



Namna Gani pale......Simba wanapata goal hapa Kwa uzembevwa kip[emoji32][emoji32][emoji3063][emoji3063]




Natania bana [emoji23][emoji23][emoji23]

Taabu ipo pale pale
Isije ikawa labani = madelu
 
Kama Saidoo mzee na Kagere je?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…