Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KayokoNaona wakishua mjadiliana kistaraaaaabu bila shida
Ngoja Sasa waje wale wa tz football
Uone refa anavyokula matusi ila hapa naona refa hatukanwi
Marefa wa Jana wote kwa Azam na namungo wamekula za uso hadi Sasa hawana hamuKayoko
Leo wamekutana na Eagles wana offense nzuri na defence nzuri😂Sasa Philadefia ndie atakuwa World Champions.
====
Unafikiri huyu Mahome ataeza kurudisha magoli?
Mchezo upo Marekani tuuKwanini Wamarekani wanawaita mabingwa wa michezo yao mabigwa wa dunia?
Ishaisha Chiefs kalia hukoDah hzo n effects za Pepsi aisee Yan sijui kama n fainal za Superbowl Leo.
Halftime show sidhan kama imenoga kama zile za Pepsi nafkir apple music wajipange sana
Hahahaa!Kansas walikuwa wanajiamin sana
Sawaa mahomes ni mzuri walikuwa wanampaisha mno kuwa hawawezi poteza super Bowl akiwepo
Kumbe wadau Eagles wana defence nzuri sana
halafu wanajipachika ni mabingwa wa dunia😅Mchezo upo Marekani tuu
Unasambaa sana sasa hivi. Wanaijeria wanacheza, waghana na nchi zingine za Africa. Baada ya miaka 4 tano kutakuwa na huo mchezo barani.Mchezo upo Marekani tuu
Basketball17_0 ni football au netball?
Mie nimempigia mmoja nae, jamaa ni die hard wa Kansas city. Huyu jamaa alipokea, nikamuuliza anafikiri KC watarudi, akasema 'Niger wacha talking bout, akakata'Nina Jamaa yangu mtz shabiki wa Kansas nampigia simu hapokei😂
Alikuwa anaangalia mechi na matokeo mkononi
Kwani Taylor swift ni mmoja wa wachezaji waoChiefs walizowea sana ushindi, inabidi nao wakandwe. Leo naona wameelemewa sana sijui Taylor Swift ataimba nini.