Anything can happen, game iko balanced, wote wanafunguka ila kwa tahadhali kubwa. Azam wana uzaifu left back, na Tabora wamejitahidi kuwa na utulivu ulinzi.
Haikua hujuma, ni ujinga wa kina kitumbo na genge lake. Wewe unadaiwa shida nini kukaa na wadeni na kukubaliana kulipa kwa installments na kuheshimu makubaliano?