FT: Tabora United 0 - 0 Azam FC | NBC Premiar Leaguer | A.H. Mwinyi Stadium | 19/02/2023

FT: Tabora United 0 - 0 Azam FC | NBC Premiar Leaguer | A.H. Mwinyi Stadium | 19/02/2023

Kipa wa tbr utd analimwa YC kwa kupoteza muda.
 
Na mpiraaa umeisha tabora 0_0 azam pumbavu na bora betpawa hawajawaweka kwenye kategori yake mngenila hela buree
 
Tbr tbr wanakosa goli la jioni, na Game inaisha BILA BILA.
 
Refa kachezesha kipuuzi Sana, Azam wame umizwa Sana na maamuzi ya refa na ma line wake.
 
Lakini kumbuka TFF iliwaonea bure Tabora Utd kwenye game ya Kwanza....
Basi Mkuki Kwa nguruwe Kwa binadamu....
Kwenye Tff ntasema Tff ila kwa hii mechi Tff siwalaumu ni mkakati wa marefa waliochezesha hii mechi.
 
Mimi ni Yanga ila namna mpira ulivyo chezeshwa ni mkakati maalum wa kuhakikisha Azam hawashindi.
Hapana Mzee Azam wamekosa nafasi Tu wao sasa walikuja kutahamaki muda haupo wakapanic na kutafuta kichaka cha kujificha.

Mpira wa bongo Waamuzi ndo hawahawa.

Siungi mkono timu kukandamizwa lakini hiyo isiwe excuse pale timu kubwa inapokabwa koo na mdogo
 
Kwenye Tff ntasema Tff ila kwa hii mechi Tff siwalaumu ni mkakati wa marefa waliochezesha hii mechi.
Azam lazima wabadilike Mzee vinginevyo watakua wanaishia kua no. tatu kila msimu
 
Azam lazima wabadilike Mzee vinginevyo watakua wanaishia kua no. tatu kila msimu
Hapana lazima watumie fedha kama wanavyo Fanya wakubwa. Mechi hii ya Leo wenzako wame wazidi kwenye kipengele Cha rushwa tu.
 
Hawa wachezaji wa azam nadhani siku mbili hizi walikua na malaya wa mitaa ya kanyenye, wanacheza kichovu, wanaanguka hovyo wakiwa pekee yao, mara misuli inawashika.
Hawana match fitness tokea mechi ya Kirumba ,wamekaa sana bila kucheza mechi za ushindani.
 
Back
Top Bottom