Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Mtani Moja ni goli tamu sana π€£Lazima tushangae mkuu vibonde kama hawa mnawafungaje kamoja tu
Si unaona akili zenu mashabiki wa utopolo kwani Sisi mechi yetu na Wydad tulicheza mwezi uliopita au, kwani ninyi ndio mara yenu ya kwanza kuchezea kwenye hicho kiwanja na je Tabora ndio wenyeji wa huo uwanja, kwani siku zote timu ikicheza Dar ndio ina uhakika wa kushinda kirahisi tuWewe ujui kitu, hii Tabora Kama ingekuwa inacheza na Simba mlikuwa amtoki, yanga katika kucheza mechi nzito na medeama wametumia nguvu kubwa ndio maana umeona wachezaji walikuwa wamechoka, na bado wamesafiri kwenda Dodoma na kucheza mechi ndani ya siku 3! Vipi wangekuwa makolo wangetoka Kama tu wamecheza dar na wametoa SARE na kmc?
Aahh mtani msimu huu naombea ubingwa wauchukue azam tuMtani Moja ni goli tamu sana [emoji1787]
Inawezekana wakipambana π€£Aahh mtani msimu huu naombea ubingwa wauchukue azam tu
Achana na hayo mkuu , vip sikukuu kwako mtapika ubwabwa naweza kujumuika nanyie ?Kama liliowakuta ninyi leo
Karibu BukobaAchana na hayo mkuu , vip sikukuu kwako mtapika ubwabwa naweza kujumuika nanyie ?
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Wasalimie Rwamishenye , ukimuona afande muuza duka la vifaa vya ujenzi mwambie senene anitumie mimi mdogo wake wa hiyari .Karibu Bukoba
Game ilikuwa ngumu sana kuliko ya KMC na SimbaWewe ujui kitu, hii Tabora Kama ingekuwa inacheza na Simba mlikuwa amtoki, yanga katika kucheza mechi nzito na medeama wametumia nguvu kubwa ndio maana umeona wachezaji walikuwa wamechoka, na bado wamesafiri kwenda Dodoma na kucheza mechi ndani ya siku 3! Vipi wangekuwa makolo wangetoka Kama tu wamecheza dar na wametoa SARE na kmc?
Pamoja sana.Wasalimie Rwamishenye , ukimuona afande muuza duka la vifaa vya ujenzi mwambie senene anitumie mimi mdogo wake wa hiyari .
Nitakuja mkuu
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Usiombe hivyo,,Kila mtu apambane na Hali yake.Aahh mtani msimu huu naombea ubingwa wauchukue azam tu
Huko sipajui niliishia bodaPamoja sana.
Mimi niko Rusinga, Misenyi.
Lakredoππ€£π€£π€£π€£π€£πππ
View attachment 2851108
Mapacha wa 5 5 mlikuwa mnacheza.. Kama na wewe unajipigia ihefu,, kwanini wewe ulipigwa 5Vipi na yule aliyefungwa na ihefu ambaye kila timu inajipigia tu