FT: Tabora United 0 - 1 Young African SC | Jamhuri Stadium-Dodoma | NBC Premier League | 23.12.2023

FT: Tabora United 0 - 1 Young African SC | Jamhuri Stadium-Dodoma | NBC Premier League | 23.12.2023

Screenshot_20231223-003029.jpg

uran 😂🤣😁
 
Wewe ujui kitu, hii Tabora Kama ingekuwa inacheza na Simba mlikuwa amtoki, yanga katika kucheza mechi nzito na medeama wametumia nguvu kubwa ndio maana umeona wachezaji walikuwa wamechoka, na bado wamesafiri kwenda Dodoma na kucheza mechi ndani ya siku 3! Vipi wangekuwa makolo wangetoka Kama tu wamecheza dar na wametoa SARE na kmc?
Si unaona akili zenu mashabiki wa utopolo kwani Sisi mechi yetu na Wydad tulicheza mwezi uliopita au, kwani ninyi ndio mara yenu ya kwanza kuchezea kwenye hicho kiwanja na je Tabora ndio wenyeji wa huo uwanja, kwani siku zote timu ikicheza Dar ndio ina uhakika wa kushinda kirahisi tu
 
Wewe ujui kitu, hii Tabora Kama ingekuwa inacheza na Simba mlikuwa amtoki, yanga katika kucheza mechi nzito na medeama wametumia nguvu kubwa ndio maana umeona wachezaji walikuwa wamechoka, na bado wamesafiri kwenda Dodoma na kucheza mechi ndani ya siku 3! Vipi wangekuwa makolo wangetoka Kama tu wamecheza dar na wametoa SARE na kmc?
Game ilikuwa ngumu sana kuliko ya KMC na Simba
 
Back
Top Bottom