FT: Tabora United 0-4 Simba SC | NBC Premier League | A.H.Mwinyi Stadium | 06.02.2024

FT: Tabora United 0-4 Simba SC | NBC Premier League | A.H.Mwinyi Stadium | 06.02.2024

Kocha anafanya rotation kwenye goal keeping

Next Match anaweza kudaka Abel Hussen
simbasctanzania-20240206-0001.jpg
 
Wapinzani wao ni Tabora sio Simba, kwa sababu Simba wapo ugenini, mleta uzi kuwa makini na nyuzi.Badala umuelezee mwenyeji wewe unatoa maelezo ya mgeni kwanza. Mwenyeji ni Tabora ndiye anayeenda kupambana na Simba, ila umeandika kana kwamba wote humu ni mashabiki wa simba 🚮
 
Kwa Simba gani wakumfunga Tabora?
Huyu huyu alie gongwa bao tano na wananchi, ama mwengine?
 
View attachment 2895995
Match Day.

Leo Simba anatupa karata yake kwenye mchezo wa 12 wakiwa na Points 26. Nafasi ya 3. Anayeongoza Ligi ana points 34.
Mpaka sasa Simba amepoteza Mchezo 1 Draw 2 na Ameshinda 8.

Wapinzani Wao Tabora wako nafasi ya 12 kwenye msimamo wakiwa na points 15.

Mchezo utafanyika Saa 10jioni.
Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora.

Tukutane hapa kwa updates...
Uran!!

KIKOSI CHA TABORA UNITED KINACHOANZA.
View attachment 2896040


KIKOSI CHA SIMBA KINACHOANZA

View attachment 2896032
All the Best Mnyama.
#nguvumoja#...
TABORA (1)
Mbombo 1

SIMBA (2)
Chama 1
Kanute 1
 
Back
Top Bottom