momentoftruth
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 2,013
- 2,089
Hao Bulgaria unaambiwa 2023 yote kwenye mechi zote hakuna mechi wameshinda ndo leo katuokotaDuuuh kweli mpira duniani umeshuka, hawa Taifa Stars hawakushinda hata mechi moja makundi AFCON ndo wanamsumbua Bulgaria?![emoji848]