FT: Tanzania 1-0 Niger | AFCON Qualifier | Estadio Benjamin Mkapa | 18.06.2023

Viongozi wa kisiasa wameona kwa kuwa tumewasema sana kwa kujiweka kimbelembele na kusababisha timu kufungwa nao wamefanya kusudi ili ionekane wananchi wameikacha timu yao.

Hamasa sahihi wanaijua inavyotakiwa kuwa ila hawataki kuitumia kwa sababu haiwaweki wao front.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…