Mwanadiplomasia Mahiri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 491
- 1,907
Jaza nyama mkuu,Leo majira ya saa 10 alasiri Taifa stars itachuana na Niger katika mchezo wa kufuzu Afcon 2024.
Tutakuwa mubashara kupitia uzi huu
Suoni mwenye kuishobokea hii Match kabisa sjui wametukosea nn wachezaji.
Hata kikosi hadi muda huu umeshindwa kuwekaLeo majira ya saa 10 alasiri Taifa stars itachuana na Niger katika mchezo wa kufuzu Afcon 2024.
Tutakuwa mubashara kupitia uzi huu
ZBCchanel gan itarusha?
Hivi Ili kufuzu inahitajika kushinda mechi ngapi?Leo majira ya saa 10 alasiri Taifa stars itachuana na Niger katika mchezo wa kufuzu Afcon 2024.
Tutakuwa mubashara kupitia uzi huu
Naunga mkono HOJAMbona hamna kabisa amsha amsha? Bora Yanga ndio iwe national team