Mkuu angalia chini ya miparachichi,labda litakuwa limepopoa na maparachichiKwenye miti ya maparachichi ukoo
Umeona alichofanyaHilo ndio tatizo lake kubwa, kupoteza mipira kisha anasubiri akabiwe na wengine. Kila akipata mpira hawezi kuangali ni wapi aupeleke, ni lazima asubiri mtu ili ampige chenga na kwakua umri ni maji ya jioni basi mara zote huupoteza tu mpira.
Naiscreenshot hii replyHawa ndio wakwenda nao Super League? Hii timu ilitakiwa kujitoa
Mkuu tulia uandike vizuri, unatetemeka?
Kacheze wewHawa ndio wakwenda nao Super League? Hii timu ilitakiwa kujitoa
Wanataka kulia😂😂Mkuu tulia uandike vizuri, unatetemeka?
Simba hii Robertinho itatumia😂
Mkuu mpira una matokeo yakikatili sanaHapana.
Ni mchezo tu Prison lazima wafungwe
Hata kama ila unaona alichofanya Saido?Hapana.
Ni mchezo tu Prison lazima wafungwe