FT: Tanzania Prisons SC 1-3 Simba SC | NBC Premier League | Sokoine Stadium | October 5, 2023

Sielewi kwanini washabiki wanataka kocha afukuzwe ikiwa uzembe unaonekana dhahiri ni wa wachezaji
Wanataka afukuzwe kwakuwa yeye ndie anaewaingizia wachazaji mfumo ambayo si rafiki kwao. Maana yake ni kwamba falsafa zake zinapishana na aina ya wachezaji alionao, na kwakuwa hawezi kubadilika basi angalau atupishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…