Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,331
- 5,865
Deeh diih dooh duuuhDaaah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Deeh diih dooh duuuhDaaah
Hayo ndio mambo yanayonishangaza kwa huyu kocha.Wachezaji wengine wanaonesha kabisa wamechoka lakini bado anakuwa mzito kufanya sub
Bocco jinga kabisaShambuli kama ile dah Bocco ni useless
Aisee jamaa mpira ushamkataaBocco jinga kabisa
Ngoja uwoneLabda chenchi
Anawatunza wachezaji Kwa akili ya mechi yetu dhidi ya kibonde Al AhylHayo ndio mambo yanayonishangaza kwa huyu kocha.
Huyu ameshazeeka na mwili unakataa kitii kile ambacho akili yake inawaza kufanya, hatuwezi kuwa na akili timamu kama tutategemea lolote la maana kuhusu ufungaji kutoka kwa Bocco.Shambuli kama ile dah Bocco ni useless
Usenge huoAnawatunza wachezaji Kwa akili ya mechi yetu dhidi ya kibonde Al Ahyl
Sasa si ndio angewapumzisha hawa waingie wengineHapana asichoshe wachszaji bhnaa tuna mechi ngumu sana Mbeleni
Mchukueni nabiHayo ndio mambo yanayonishangaza kwa huyu kocha.
Goli likichomolewa hapa, kutakuwa na faida gani ya kuwatunza..?Anawatunza wachezaji Kwa akili ya mechi yetu dhidi ya kibonde Al Ahyl
Tema mate chini mkuu,ujue Robertiho ni kocha la duniaUsenge huo
🤣🤣Usenge huo
Kuwa Mzalendo,kocha ni kocha la kimataifaGoli likichomolewa hapa, kutakuwa na faida gani ya kuwatunza..?
Dakika ya 82 hakuna subHayo ndio mambo yanayonishangaza kwa huyu kocha.
Mechi inaanza kuwa ngumu kwa ajili ya ujinga wa kocha,kwanini asifanye sub?hawa majamaa wanajua kupiga foul tutakuja kuumbuka hapaHuyu ameshazeeka na mwili unakataa kitii kile ambacho akili yake inawaza kufanya, hatuwezi kuwa na akili timamu kama tutategemea lolote la maana kuhusu ufungaji kutoka kwa Bocco.