Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,331
- 5,865
🤷🤷🤷🤷🤷🤷🤷Refaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤷🤷🤷🤷🤷🤷🤷Refaaa
Sana yaani saanaHuyu refa ana makosa mengi
Na hiyo ndio shida yake, ikitokea goli limesawazishwa ndio anaanza kuingiza watu hovyohovyo. Hizi point ni mtaji mkubwa sana kwetu huko mbeleni, hatutakiwi kupoteza hata moja.Huyu kocha aache usenge afanye sub
Coach wa Simba na benchi lake hawajielewiiToa Saido
Toa Boko
Sijui ni kwanini.
Hivi tunahitaji nini exactly?
Aisee inashangaza wakati unaona kabisa Baleke angekuwa na goliHuyu kocha aache usenge afanye sub
Robertinho aondoke....Sijui ni kwanini.
Hivi tunahitaji nini exactly?
Saidoo anachezaji muda wote huo..? Ujinga huu.Coach wa Simba na benchi lake hawajielewii
Thanks for the followingSasa hiv wanarudisha
Mkuu si mnajiandaa na Super League au umesahau?Saidoo anachezaji muda wote huo..? Ujinga huu.
Labda chenchiSasa hiv wanarudisha
Hapana asichoshe wachszaji bhnaa tuna mechi ngumu sana MbeleniHuyu kocha aache usenge afanye sub
Wachezaji wengine wanaonesha kabisa wamechoka lakini bado anakuwa mzito kufanya subNa hiyo ndio shida yake, ikitokea goli limesawazishwa ndio anaanza kuingiza watu hovyohovyo. Hizi point ni mtaji mkubwa sana kwetu huko mbeleni, hatutakiwi kupoteza hata moja.
ghNipeni matokeo, mbona sielewi.
Usikhofu,mtashinda dhidi ya Al AhylWachezaji wengine wanaonesha kabisa wamechoka lakini bado anakuwa mzito kufanya sub
Yani hapo goli likisawazishwa ndio utamuona anaamsha wachezaji.Wachezaji wengine wanaonesha kabisa wamechoka lakini bado anakuwa mzito kufanya sub
Ihefu 2 Yanga 1Nipeni matokeo, mbona sielewi.