FT: Tanzania Prisons SC 1-3 Simba SC | NBC Premier League | Sokoine Stadium | October 5, 2023

FT: Tanzania Prisons SC 1-3 Simba SC | NBC Premier League | Sokoine Stadium | October 5, 2023

Wachambuzi wanakuja
IMG_8131.jpeg
 
Unataka kusema walikuwa wanabutua butua au kumaanisha nini mkuu😆
 
Simba nzuri zote karibu misimu 5 azijapata zaidi ya goli 2 pale sokoine Simba mbovu inayoshambuliwa na waandishi uchwara na pimbi zao utopolo Bin chura gongo wazi imepata goli 3 na soka safi la kuvutia sasa soka lile mnataka Wana lunyasi wacheze mpira gani huo mzuri pumzika sasa robertinho tuna wasubiri wachambuzi uchwara
pumzika sasa robertinho tuna wasubiri wachambuzi uchwara
b7455504380db0d725de82875a08328a.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Leo onana kwa dk chache alizocheza kaonesha anahitaji kuanza, phiri anahitajika kikosi cha kwanza.

Saidoo kwanini kataka kupiga yeye ile penati, ni ubinafsi, kwa kipindi kigumu anachopitia phiri anahitaji support toka kwa wenzie.

Simba viongozi walisajili hovyo, kuna watu wanahitaji kupewa nafasi ili waweze kujianini wafanye vitu vyao kwa uhuru, mfano chama akikosea hana tabu sababu wala mashabiki hawatalalama sana sababu alishaonesha uwezo wake.
Ila onana akikosea atakuwa na mashaka, na kitu hicho ndio kinawatoa wachezaji mchezoni.

Chilunda anahitaji muda zaidi.. msimu huu uwe wa mwisho kwa boko, kazi na umri.

Kibu akiongeza matumizi ya akili badi ni mchezaji mzuri saana.

Saidoo bado anacheza mpira wa gombania goli(mpira wangu) ule ni mpira wa shule(anao anao)

Mzamiru anahitajika msaidizi wake mnyumbulifu zaidi.


Sina shida na ally salim, nina shida na waolalamikia salim awe kikosi cha kwanza, mie kwangu bado.
 
Leo onana kwa dk chache alizocheza kaonesha anahitaji kuanza, phiri anahitajika kikosi cha kwanza.

Saidoo kwanini kataka kupiga yeye ile penati, ni ubinafsi, kwa kipindi kigumu anachopitia phiri anahitaji support toka kwa wenzie.

Simba viongozi walisajili hovyo, kuna watu wanahitaji kupewa nafasi ili waweze kujianini wafanye vitu vyao kwa uhuru, mfano chama akikosea hana tabu sababu wala mashabiki hawatalalama sana sababu alishaonesha uwezo wake.
Ila onana akikosea atakuwa na mashaka, na kitu hicho ndio kinawatoa wachezaji mchezoni.

Chilunda anahitaji muda zaidi.. msimu huu uwe wa mwisho kwa boko, kazi na umri.

Kibu akiongeza matumizi ya akili badi ni mchezaji mzuri saana.

Saidoo bado anacheza mpira wa gombania goli(mpira wangu) ule ni mpira wa shule(anao anao)

Mzamiru anahitajika msaidizi wake mnyumbulifu zaidi.


Sina shida na ally salim, nina shida na waolalamikia salim awe kikosi cha kwanza, mie kwangu bado.
👏👏
 
Leo onana kwa dk chache alizocheza kaonesha anahitaji kuanza, phiri anahitajika kikosi cha kwanza.

Saidoo kwanini kataka kupiga yeye ile penati, ni ubinafsi, kwa kipindi kigumu anachopitia phiri anahitaji support toka kwa wenzie.

Simba viongozi walisajili hovyo, kuna watu wanahitaji kupewa nafasi ili waweze kujianini wafanye vitu vyao kwa uhuru, mfano chama akikosea hana tabu sababu wala mashabiki hawatalalama sana sababu alishaonesha uwezo wake.
Ila onana akikosea atakuwa na mashaka, na kitu hicho ndio kinawatoa wachezaji mchezoni.

Chilunda anahitaji muda zaidi.. msimu huu uwe wa mwisho kwa boko, kazi na umri.

Kibu akiongeza matumizi ya akili badi ni mchezaji mzuri saana.

Saidoo bado anacheza mpira wa gombania goli(mpira wangu) ule ni mpira wa shule(anao anao)

Mzamiru anahitajika msaidizi wake mnyumbulifu zaidi.


Sina shida na ally salim, nina shida na waolalamikia salim awe kikosi cha kwanza, mie kwangu bado.
Phiri ndio katoa fair kwa Saido
 
Back
Top Bottom