Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Msimamo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba bingwa au ?Utopolo chomoeni taratibu, ina tabia ya kuuma
Nilimuona saidoo kakimbilia pale na akasimama karibu na kispot cha kupigia penati, means alikuwa anataka kupiga.Phiri ndio katoa fair kwa Saido
Nilikuambia bora ulivyocheka mapema maana hii nafasi hutaipata tena.
Wapo waliobaki kuchangisha harambee ya milioni 25 za kuwapa PrisonHivi na ndugu zetu wapo Mbeya bado au tayari waliondoka na hakuna kulala ya jana?
Furaha ya masikini haijawahi kudumu
Siku hizi ni mbezi
Saidoo hana goli ligi kuu, alitaka kuondoa gunduLeo onana kwa dk chache alizocheza kaonesha anahitaji kuanza, phiri anahitajika kikosi cha kwanza.
Saidoo kwanini kataka kupiga yeye ile penati, ni ubinafsi, kwa kipindi kigumu anachopitia phiri anahitaji support toka kwa wenzie.
Simba viongozi walisajili hovyo, kuna watu wanahitaji kupewa nafasi ili waweze kujianini wafanye vitu vyao kwa uhuru, mfano chama akikosea hana tabu sababu wala mashabiki hawatalalama sana sababu alishaonesha uwezo wake.
Ila onana akikosea atakuwa na mashaka, na kitu hicho ndio kinawatoa wachezaji mchezoni.
Chilunda anahitaji muda zaidi.. msimu huu uwe wa mwisho kwa boko, kazi na umri.
Kibu akiongeza matumizi ya akili badi ni mchezaji mzuri saana.
Saidoo bado anacheza mpira wa gombania goli(mpira wangu) ule ni mpira wa shule(anao anao)
Mzamiru anahitajika msaidizi wake mnyumbulifu zaidi.
Sina shida na ally salim, nina shida na waolalamikia salim awe kikosi cha kwanza, mie kwangu bado.
Na alivyokuwepo magoli yalipatikanaYaani bocco katoka na bao limepatikana[emoji1787][emoji1787]
Wale jamaa sijui walikumbuka kuscreen shot wakati wanaongozaHii ndio habari ya mjini kwa sasaView attachment 2772881
Hizo ligi zingine umeangalia?Naangalia hapa mpira wa Chama langu Simba na prison, ninayo yaona nafsi imekataa kabisa kuamini kwamba hii ni ligi ya tano kwa ubora kama tunavyoaminishwa, sasa napiga picha hiyo ligi ya mwisho kwa ubora sijui wanachezaje.
unatamani ufute hii postSimba apigwe tatu atulie hvi hvi
mashabiki wanagwaya kubwabwaja yanga kufungwa jana coz wanajua hatma yao leo ni mbovu sana 😆
Mlikuwa bado?Tutakoma
Mbere kwa mbereHii ndio habari ya mjini kwa sasaView attachment 2772881
Simba apigwe tatu atulie hvi hvi
mashabiki wanagwaya kubwabwaja yanga kufungwa jana coz wanajua hatma yao leo ni mbovu sana [emoji38]