FT: Tanzania Prisons SC 1-3 Simba SC | NBC Premier League | Sokoine Stadium | October 5, 2023

FT: Tanzania Prisons SC 1-3 Simba SC | NBC Premier League | Sokoine Stadium | October 5, 2023

uran

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
10,392
Reaction score
15,948
Kumekucha tena,

Kivumbi leo. Uwanja wa Sokoine Mbeya.

Simba ya Dar es Salaam itaumana na Tanzania Prison ya Mbeya.

Muda ni Saa 10 Jioni kwa Saa za Afrika Mashariki.
simba.jpeg

Kikosi cha Simba kinachoanza dhidi ya Tanzania Prisons, Oktoba 5, 2023

Updates.
Mchezo umenza
12' Tanzania Prisons Wanaongoza goli 1-0, mfungaji ni Edwin Balua
31' Clatous Chama anasawazisha akimalizia pasi ya Shomari Kapombe
45' John Bocco anafunga goli la pili

Kipindi cha kwanza kimekamilika

Kipindi cha pili kimeanza

Phiri anaingia kuchukua nafasi ya John Bocco

84' Simba wanapata penati, baada ya Phiri kuchezewa faulo na kipa
85' Saido anafunga kwa njia ya mkwaju wa penati
 
Simba apigwe tatu atulie hvi hvi
mashabiki wanagwaya kubwabwaja yanga kufungwa jana coz wanajua hatma yao leo ni mbovu sana 😆
 
Kumekucha tena,

Kivumbi leo. Uwanja wa Sokoine Mbeya.

Simba ya Dar es Salaam itaumana na Tanzania Prison ya Mbeya.

Muda ni Saa 10 Jioni kwa Saa za Afrika Mashariki.



Unyama mwingi.
Simba,
#Nguvumoja#
Leo Simba tunafanya unyama wa kutosha
 
Kumekucha tena,

Kivumbi leo. Uwanja wa Sokoine Mbeya.

Simba ya Dar es Salaam itaumana na Tanzania Prison ya Mbeya.

Muda ni Saa 10 Jioni kwa Saa za Afrika Mashariki.



Unyama mwingi.
Simba,
#Nguvumoja#
Nenda Simba , Nenda , Sisi zetu Dua .
Daima tuko nyuma yako
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Kumekucha tena,

Kivumbi leo. Uwanja wa Sokoine Mbeya.

Simba ya Dar es Salaam itaumana na Tanzania Prison ya Mbeya.

Muda ni Saa 10 Jioni kwa Saa za Afrika Mashariki.



Unyama mwingi.
Simba,
#Nguvumoja#
Prison piga hao takataka kama Ihefu ilivyowanyea wale wachawi.

Mbeya ni 🔥🔥
 
Back
Top Bottom