Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji85][emoji85][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Kwa nini utarudi mdogo wangu? [emoji23][emoji23]
Bakia.
Aahaaaaaa😂😂😂😂Wa makaratas
Hahaha, Hao simba watashtuka kumtoa Robatinyo, muda si rafiki.Hii mechi bora iishe tu
Utakuta hapo ulipo huna hata lesen ya grassroot ya caf alf.uko busy unamkomka mtu ana uefa proHii mipira mirefu simba hawawezi,huyu kocha mbona anashindwa kuelewa,mipira inapotea nyingi
Wachezaji wanafundishwa na nani? Kikosi anapanga nani?Sielewi kwanini washabiki wanataka kocha afukuzwe ikiwa uzembe unaonekana dhahiri ni wa wachezaji
🤣🤣🤣🤣🤣Hapana.
Ni mchezo tu Prison lazima wafungwe
Kakojoe ulaleUtakuta hapo ulipo huna hata lesen ya grassroot ya caf alf.uko busy unamkomka mtu ana uefa pro
Kweli ni hujumaaaaaaHawa ndio wakwenda nao Super League? Hii timu ilitakiwa kujitoa
Kweli mkuuuWachezaji wanafundishwa na nani? Kikosi anapanga nani?
leo tutaangalia maombi na tunguri kipi kinanguvu nimesali mpigwe vitatu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu tulia uandike vizuri, unatetemeka?
Simba hii Robertinho itatuua[emoji23]